duh, sitaki kuamini kama bado anataka kutuangamiza. kaka chenge we are real sorry...tuonee huruma watanzania wenzako we si unanyumba nyingi na pesa ya kutosha? nakushauri ukaishi kwenye nyumba yako nyingi. Don't tell me tutawalipa Dowans vijisenti ni pesa nyingi mzee tuangalie tutakuwa wapi kama sasa ivi hali bado tata. kuwa na huruma!Mbunge wa Bariadi pamoja na tuhuma nzito zinazo onyesha negative atitude kwa WATZ kama vile tuhuma dhidi ya rada, kumiliki mabilion ya fedha nje ya nchi, kutia mkono wa kumuondoa spika SITTA aliye pendwa na WATZ wengi kuwa spika wa Bunge Leo napata habari mbaya kwetu kuwa CHENGE amepeleka ushauri mzito wa kisheria ili DOWANS walipwe sh. 94 bil. (source GAZETI LA NIPASHE) CHENGE kama kuna kosa WATZ wamekufanyia basi wasamehe bure !!!! Mbona wao awnakupenda wamekupa ubunge (kama hukuchakachua) kuonyesha wanakupenda tusamehe tu hata kama una mgawo DOWANS
Yani tanzania ya leo kila ukisikiliza media ni lazima utakutana na Habari ya ubadhilifu wa fedha kwanzia ngazi ya chini Hadi Juu!
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?
Ndio maana China kesi kama hizi wnakunyonga tu, na ndo maana watu wanakuwa wanafanya kazi kwa interest za Nchi na wala sio binafsi,
Tunasaini mikataba ya kupinga Hukumu ya kifo then watu wanakuwa wazebe na kufanya wanavojisikia, Hava ni shenz type kabisa, Kama watuhumiwa wa ufisadi wangekuwa wananyongwa basi tungekuwa hatusiii watu kuwa wabadhilifu kwani hakuna mtu anaependa kuwahishwa,
Yani tanzania ya leo kila ukisikiliza media ni lazima utakutana na Habari ya ubadhilifu wa fedha kwanzia ngazi ya chini Hadi Juu!
Tutafika tu!
Ndio, jee wewe?? unatoa huduma bure?
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?
Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa?
Yes.. Ipo, risasi tatu za kifuani zinatosha kumaliza tatizo hili!..kuna njia nyingine ya kumnyonga chenge tofauti na hukumu ya mahakamani?Maana mpaka sasa anajiita mr clean
Looo. Mdini = msema kweli. Kwa hapo ume analyze vizuri sana. Mimi ni mdini tena Muislaam, Jee wewe?
We mdada au mkaka acha kupinga kila kitu ambacho kina kwenda kinyume na maslahi ya mafisadi, ndio mmetumwa na huyo Nape wenu kuja kutia shombo jamvini ili wenye busara zao wasichangie. Kwa hilo sikilizieni maumivu tu.Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?
Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?
Acheni unafiki na chuki binafsi. Kama watu wametumia huduma lazima walipe. Chenge ni lawyer na anaplay part yake kama lawyer. Watanzania sisi tu wanafiki sana. Ni sisi ndiyo tumeiweka CCM madarakani halafu leo tunapiga kelele! Hiyo ndiyo "motto" ya CCM na ndiyo maana hata mtu waliyemweka awe mpiga kelele wa ufisadi is not credible himself na ameshaanza kuonekana mropokaji tu.
Lazima ifikie wakati tuyakubali makosa yetu na tusonge mbele. Hatuwezi kupiga mark time palepale na kuacha kufuatilia vitu vya msingi vinavyotokea katika maisha yetu. Kwa sasa ingetakiwa watu wapige kelele sana kuwa wanataka vitu gani kubadilika katika bajeti ijayo. Waongeze wigo wa makusanyo kwa kuondoa misamaha ya kodi kwenye migodi. Diesel: Excise duty(TZS/L)=314, Fuel Levy (TZS/L)=200.
Kama North Mara wanatumia lita 4000000 kwa mwezi, kodi yao ni TZS2.056billion. Kwa mwaka ni TZS24.672billion. Huu ni mgodi mmoja tu. Ukiweka Buzwagi, Bulyanhulu, Geita, Resolute, pamoja na migodi mingi ya Watanzania wengine ambao "wanakunwya" mafuta mengi "mengine yaweza kuwa hewa" utakuta nchi inapoteza mabilioni mengi sana kwa mwaka. Assume mines zote zinatumia lita 20,000,000 kwa mwezi, kodi kwa mwaka ni Takriban TZS123 billion.
Hawa jamaa ndiyo wanaharibu barabara zetu lakini wao ndiyo hawalipi kodi!
Tuache kumlaumu sijui Chenge, Rostam, Lowasa, tujilaumu sisi wenyewe, na tuyakubali makosa yetu na tusonge mbele tukiyarekebisha katika siku za usoni. TUACHE UNAFIKI. BAADHI YA WANASIASA WANATUPA WRONG INFORMATION KWA MANUFAA YAO WENYEWE! HASA WALE AMBAO UNAWACHUKULIA KUWA WAPO CREDIBLE, WALE WANAOONEKANA KWA SASA NI AKINA MR. CLEAN! HAKUNA MSAFI HATA MMOJA
eeeh wewe ndiye FOXJee kuna sababu yoyote ya maana kwa kutumia huduma ya mtu halafu usimlipe?
Ndio, jee wewe?? unatoa huduma bure?
</p><font size="4">Acheni unafiki na chuki binafsi. Kama watu wametumia huduma lazima walipe. Chenge ni lawyer na anaplay part yake kama lawyer. Watanzania sisi tu wanafiki sana. Ni sisi ndiyo tumeiweka CCM madarakani halafu leo tunapiga kelele! Hiyo ndiyo "motto" ya CCM na ndiyo maana hata mtu waliyemweka awe mpiga kelele wa ufisadi is not credible himself na ameshaanza kuonekana mropokaji tu.</font></p>
<p><font size="4">Lazima ifikie wakati tuyakubali makosa yetu na tusonge mbele. Hatuwezi kupiga mark time palepale na kuacha kufuatilia vitu vya msingi vinavyotokea katika maisha yetu. Kwa sasa ingetakiwa watu wapige kelele sana kuwa wanataka vitu gani kubadilika katika bajeti ijayo. Waongeze wigo wa makusanyo kwa kuondoa misamaha ya kodi kwenye migodi. Diesel: Excise duty(TZS/L)=314, Fuel Levy (TZS/L)=200.</font></p>
<p><font size="4">Kama North Mara wanatumia lita 4000000 kwa mwezi, kodi yao ni TZS2.056billion. Kwa mwaka ni TZS24.672billion. Huu ni mgodi mmoja tu. Ukiweka Buzwagi, Bulyanhulu, Geita, Resolute, pamoja na migodi mingi ya Watanzania wengine ambao "wanakunwya" mafuta mengi "mengine yaweza kuwa hewa" utakuta nchi inapoteza mabilioni mengi sana kwa mwaka. Assume mines zote zinatumia lita 20,000,000 kwa mwezi, kodi kwa mwaka ni Takriban TZS123 billion. </font></p>
<p><font size="4">Hawa jamaa ndiyo wanaharibu barabara zetu lakini wao ndiyo hawalipi kodi!</font></p>
<p><font size="4">Tuache kumlaumu sijui Chenge, Rostam, Lowasa, tujilaumu sisi wenyewe, na tuyakubali makosa yetu na tusonge mbele tukiyarekebisha katika siku za usoni. TUACHE UNAFIKI. BAADHI YA WANASIASA WANATUPA WRONG INFORMATION KWA MANUFAA YAO WENYEWE! HASA WALE AMBAO UNAWACHUKULIA KUWA WAPO CREDIBLE, WALE WANAOONEKANA KWA SASA NI AKINA MR. CLEAN! HAKUNA MSAFI HATA MMOJA</font>
Duhh, labda hufatilii habari za nchi yako.
vijisenti sasa ameamua kuanika makucha yake ya kifisadi na kutojali wananchi wake. Sijui wanamchagua kwa vigezo gani kuwa mbunge huko jimboni kwake, anazo sifa kamilifu za kutokua binadamu wa kawaida.
mkuu naona unajitahidi kumjibu teja!nchi ipi? Chalinze au Bagamoyo!