Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Una maana hizo fedha analipwa DOWANS zinarudi tena CCM kuendeleza ufisadi wao??????????Dowans CCM ni kitu kimoja, kufanyia kampein au kulipa madeni ya kampeini. CDM komboa Mtanzania, tuandamane hakuna kulipa.Wacha Chenge ateme cheche huko Ulaya hatulipi. Tukimkamata akaingia kwenye anga zetu atatueleza, amuulize Mbaraka wa Misri!!!!!!!!!!!!Jamani msisahau kuwa hapa kinachotetewa ni pesa kwa manufaa ya CCM iliyowekwa madarakana kwa ufisadi wa aina hii.