AJABU: Chenge aitetea DOWANS ilipwe!

Jamani msisahau kuwa hapa kinachotetewa ni pesa kwa manufaa ya CCM iliyowekwa madarakana kwa ufisadi wa aina hii.
Una maana hizo fedha analipwa DOWANS zinarudi tena CCM kuendeleza ufisadi wao??????????Dowans CCM ni kitu kimoja, kufanyia kampein au kulipa madeni ya kampeini. CDM komboa Mtanzania, tuandamane hakuna kulipa.Wacha Chenge ateme cheche huko Ulaya hatulipi. Tukimkamata akaingia kwenye anga zetu atatueleza, amuulize Mbaraka wa Misri!!!!!!!!!!!!
 
You know what, the blood of those girls the wife killed that night will trouble him. Kwa sababu sasa anaongea hovyo kama mwedawazimu. Tena sijui kwa nini hajanyongwa mpaka sasa anatamba tuu.

Tena kweli anyongwe kabisa hata kama anatumia uchawi kuna siku tuu huyo Chenge
Laana ya kuua inamtafuna anaweweseka, mpaka atubu maovu yake amrudie Mungu ndipo atapona!!!!!!!!!!!!
 
Jee kuna sababu yoyote ya maana kwa kutumia huduma ya mtu halafu usimlipe?


We kweli una akili fupi sana! Ni huduma gani ambayo Watanzania walifaidika nayo toka kwa Richmond/Dowans zaidi ya uongo walioutumia ili kupata mkataba wa kuleta mitambo yao ya kitapeli nchini ambayo wataalam wa TANESCO waliikataa? Inaelekea wewe ni fisadi mwanamke na ndio maana huishi kutetea mafisadi wa chama cha magamba kila kukicha.
 
Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa?

Pumbaf kabisa! Kikwete alishinda kesi hiyo kivipi? alipeleka hata mwanasheria katika kesi ile kutetea maslahi ya nchi? Hebu acha uongo wako!
 
huyu jamaa sio mzima pamoja na shule yake ya harvard eti kasoma na Obama ndio maana anajiona yuko juu, Hawa mapacha watatu A.K.A Magambaz watatumailiza, sasa lilibaki ni kuwafuata huko walikotaja Oysterbay na kuwauliza wanatutaka nini wananchi? ndio maana tunaombaa serikali irudishe majumba yote tuwe wote uswahilini tuone kama watandelea kusema hayo, na ni kwa kuwa wanajifanya wanaulinzi ndio maana wanadharau
 
Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge kisheria. Nani anaekumbuka?

Kwa mantiki hiyo, ikiwa Chenge kasema fedha ya Dowans walipwe, basi ujuwe kaiona sheria kwa jicho la wazi na anajuwa kutokuwalipa Dowans kunaweza kuleta utata zaidi na kuliingiza Taifa kwenye utata zaidi, Jee, inawezekana kuwa hata Symbion hawatakubali kulipia mitambo ambayo bado ina deni?

Pumba tupu! mtetezi wa mafisadi! naona unajitahidi sana kutetea ufisadi unaoiangamiza nchi yetu
 
Hii inaonyesha wazi raisi ananguvu kwa mafisadi
maana kila kukicha chenge anakuja na remix zake mara kugombe uspika,
nadhani kwa sasa chenge ana tena huruma na nchi kwa sababu anazozijua yeye sijuhi anakomoana na nani? au wameona waisimamie kesi wenyewe ili kulinda siri iliyojificha ya dowans kuhusu umiliki wake
 
Chenge anamatatizo, nawasiwas na uraia wake. Huyu bwana sio mzalendo kabisa. Kweli UFISADI IMANI YA HOVYO.
 
Chenge anamatatizo, nawasiwas na uraia wake. Huyu bwana sio mzalendo kabisa. Kweli UFISADI IMANI YA HOVYO.

Chenge ni raia wa Tanzania!ni Mnyantuzu kutoka Bariadi-Itilima.Tatizo ni kwamba anadharau sana!anawapa mandazi wanyantuzu ili wampigie kura!his a.k.a is Mr. Madharau au Mr.No uzalendo!shame on him!
 
Msiogope. Aminini hana lolote. Subirini muone hafiki popote.

Ataungana na mtandao wake na serikali ya warema lakini mwisho wata shindwa tu
 
Jamani Chenge Ni Mwanasheria na Ana Uhuru wote wa Ku-Practice Taaluma yake!
Yaani akatae Dili,Mbona Wauaji Wanatetewa na Mawakili na Wengine wanashinda kesi!
Kikubwa Deni lili au Lisilipwe ila Waliozembea wote hadi Jambo hili kutokea Wababatizwe!
Chenge Kamua wewe Si Wakili?Usitishiwe nyau!
Swala la RADA halina Mashiko hadi pale Wahusika wote Kuanzia Baraza la Mawaziri hadi Watendaji wengine waliofanikisha watakatakapo Orodheshwa afu Tuwashughulikie wote kwa Umoja wao!
Chenge Dunda
 
Bongolala, wakati nasubiri kulisoma hilo Nipashe, ningependa kusisitiza mahitaji ya kisheria na mahitaji halisi ni vitu viwili tofauti. Mahitaji ya kisheria ni laz`ima yatekelezwe no matter what, hata kama sio mahitaji halisi.

Tozo la Dowans lililotolewa na ICC ni hitaji la kisheria, kwa mujibu wa mkataba husika, uamuzi wa ICC ni uamuzi wa mwisho, haupingiwi na mahakama yoyote labda kufanyiwa mapitio na ICC yenyewe, hivyo kitendo cha kuusajili mahakama za nchini, ni kwa lengo la kuusajili uamuzi ule kwa utekelezaji tuu.

Siungi mkono tozo hiyo ya ICC kwasababu sio tozo halali, ila kisheria, maadamu wanasheria vichwa maji wetu waliukubali ule mkataba, na hivyo ndivyo mkataba unavyosema, then tozo hiyo imehalalishwa na mkataba mbovu ule, hivyo toso ile ni halali kisheria.

Nawaombeni wana jf na wananchi wote wa Tanzania, lazima tuukubali ukweli mchungu kwa kumeza kidonge kichungu cha tozo hii, tutatake tusitake, lazima tutalipa tuu, hatuna popote pa kutokea unless Tanzania kama nchi, tujitoe ICC na kuwafukuzia mbali hawa wanyonyaji wote wanaojiita wawekezaji wa kwendo makao n a mitaji yao, wakatumie fedha zao kutengeneza madini yao na sisi watuachie almasi zetu, Wasukuma tuzichezee bao, na dhahabu zetu tuziache humo humo ardhini, tubaki na umasikini wetu huku tumekalia malia zetu, kuliko kuwaruhusu wazipore kubadilishana na pipi huku wakituacha na umasini wetu palepale.
pascal njoo
 
Katika kudhihirisha uswahiba na ufisadi wa mapacha watatu, Chenge amewasilisha pingamizi la kisheria kutetea DOWANS ilipwe na serikali ya Tanzania.

Source: Nipashe la leo

=============================================
DOCS:

Chenge1.jpg

chenge2.jpg


More DOCS; DOWNLOAD THE ATTACHMENTS BELOW
Huyu bwana damu yake ni ya kifisadi.Kama ufisadi ungewezekana kuwa inherited, tungeweza kusema ana genes za kifisadi.

Mimi Nashangaa kwa nini mpaka leo yuko kwenye system yetu.Ni lazima ana kitu extremely abnormal ambacho watu wengine hawana.
 
Kama kweli huyu wa 5 yupo na nia njema amuondoe huyu kwenye uenyekiti wa bunge
 
Back
Top Bottom