Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 351
Naibu waziri wa Afya Aisha kigoda amezima minongono ya muda mrefu ,baada ya kuamua kuweka wazi Bungeni kuwa waziri wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano mhe Seif khatib ndiye barafu wa moyo wake
Huwa najiuliza haya mahusiano ya ndani kati ya wabunge na mawaziri kama yana uhusiano wowote na utawala bora , RUSHWA PAMOJA NA MAOVU MENGINE YANAYOENDELEA NDANI YA JAMHURI YA MUUNGANO
Huwa najiuliza haya mahusiano ya ndani kati ya wabunge na mawaziri kama yana uhusiano wowote na utawala bora , RUSHWA PAMOJA NA MAOVU MENGINE YANAYOENDELEA NDANI YA JAMHURI YA MUUNGANO