MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,859 Mar 14, 2012 #2 Bwana asifiwe
F Fred Otieno Member Joined Apr 8, 2007 Posts 17 Reaction score 3 Mar 14, 2012 #3 Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana.
Nish JF-Expert Member Joined Jul 22, 2011 Posts 730 Reaction score 114 Mar 14, 2012 #4 We ni mzungu au albino
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Mar 14, 2012 #5 Wanapendeza pamoja.
NdasheneMbandu JF-Expert Member Joined Jan 2, 2012 Posts 940 Reaction score 308 Mar 15, 2012 #6 Kimanzichana said: Click to expand... Kwa kweli wanapendeza.
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,371 Mar 15, 2012 #7 Fred Otieno said: Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana. Click to expand... Kitu kama ni albino
Fred Otieno said: Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana. Click to expand... Kitu kama ni albino
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,371 Mar 15, 2012 #8 Ublack wa mamaye ndo unamfanya mtoto aonekane mweupe zaidi afu hii picha kama imeeditiwa vile
Z zayat JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 337 Reaction score 42 Mar 15, 2012 #9 hii nikuhakikisha kama mungu yupo na kila analo tenda halina makosa
Royals JF-Expert Member Joined Nov 19, 2011 Posts 1,472 Reaction score 378 Mar 15, 2012 #10 Hapo ni sawa na giza na nuru.
MaxShimba Platinum Member Joined Apr 11, 2008 Posts 36,008 Reaction score 4,092 Mar 16, 2012 Thread starter #11
MaxShimba Platinum Member Joined Apr 11, 2008 Posts 36,008 Reaction score 4,092 Mar 16, 2012 Thread starter #12
Pindima JF-Expert Member Joined Aug 16, 2011 Posts 347 Reaction score 82 Mar 16, 2012 #13 Buruburu said: Click to expand... Hapa mshkaji kaibiwa!!
lukindo JF-Expert Member Joined Mar 20, 2010 Posts 8,470 Reaction score 9,053 Mar 17, 2012 #14 wanasema kisayansi kuwa a the blacks are dominant gene na ndio maana mzungu hawezi kuzaa mtu mweusi lakini mweusi anazaa mweupe. Kwa maana rahisi ni kuwa wazungu wametokana na waafrika
wanasema kisayansi kuwa a the blacks are dominant gene na ndio maana mzungu hawezi kuzaa mtu mweusi lakini mweusi anazaa mweupe. Kwa maana rahisi ni kuwa wazungu wametokana na waafrika
CAMARADERIE JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 4,419 Reaction score 1,929 Mar 17, 2012 #15 Awesome
M Mrdash1 JF-Expert Member Joined Sep 21, 2010 Posts 1,375 Reaction score 338 Mar 17, 2012 #17 Buruburu said: Click to expand... Wana sura za kinigeria, halafu wanavyohusudu mzungu!!!! Angalia familia ina piga picha na mwanasesele wa kizungu
Buruburu said: Click to expand... Wana sura za kinigeria, halafu wanavyohusudu mzungu!!!! Angalia familia ina piga picha na mwanasesele wa kizungu
Mtagwa lindi JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 311 Reaction score 96 Mar 17, 2012 #18 Hyo mtoto wa masai kapakwa langi au albino?
MaxShimba Platinum Member Joined Apr 11, 2008 Posts 36,008 Reaction score 4,092 Mar 17, 2012 Thread starter #19 White Mommy, White Daddy, Black Baby (Family Tree) - YouTube
Dunda kwetu JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 265 Reaction score 37 Mar 17, 2012 #20 Unayashangaa ya mungu hali ni yeye ndie alie kuumba