Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

NIMESHTUKAA SANA, Nikajua na uzi umeuandikia ndani ya jeneza Mkuu
 
Apo uongo, mtu kitu cha kwanza kinachofanyiwa mfu ni kufumbwa macho, sa we ulionaje wakilia na kuzimia
 
Wengi hawajui, waje iringa tuwazike, kila kitu wao wanadhani ni utani tu.
Sure mkuu,wao wamekazana kusema chai TU wakati hawajui ya huko.Waende wajionee mtu anavyokufa huku mnamuona.
 
Hapo ulivyozinduka tu wangekuuliza tukurudishe taratibu ziendelee au uende chumbani mwenye mke akulipue kimoja mdomoni n kimoja 0714 kwa siri ili kutegua tego ndo ungeacha kabisa hiyo tabia ,,,,,na ukijifanya kukataa unarudishwa ktk hali hiyo halafu ndo unafir** then unaachiwa.
Omba lisikukute, wewe umekamilika
 
Back
Top Bottom