Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

Haya mambo yapo... Pole Sana naamini hutajaribu Tena kucheza na wanawake Popote utakapokuwa
 
Ipo dawa ktk baadhi ya wilaya za mkoa wa Tanga hasa Handeni na Kilindi ambapo mke hutegwa na mmewe bila yeye kujua na ni mtego wa mtu mmoja haurudii hadi uwekwe tena, mtego huu ni kwamba ukimchukuwa mke wa mtu abdala kichwa wazi akigusa ile Labia majora kabla minora haijafikiwa utahisi kishindo kikubwa kikiambatana na maumivu makali tumboni na hapo tayari guts and visceros yaani tumbo, ùtumbo, figo, maini vinaķatwakatwa kama msusa na on the spot muhusika ataanza kunya damu nzito ikiwa na vipande vya vile viungo vinavyokatwakatw.

Kikawaida mhusika aliyekumbwa na kadhia hii hatoweza kuongea wala kulalamika na hatokuwa na nguvu ya kujitoa pale kifuani au whatever the style na mwanamke atamsogeza huku jamaa akigugumua kwa maumivu mabaya na ya kutisha, kwa mfano kama walikuwa ndani kwa mwanamke basi jamaa ataburutwa hadi somewhere angalau isionekane alikuwa wapi na jamaa atakajikatia moto hapo, wengine wanaoenda porini mwanamke akiona hiyo hali humwacha jamaa hapo na kukimbia zake mara nyingi wawindaji walikuta mizoga ya aina hii mingi tu porini,

Nakumbuka kuna ndugu yangu akiwa graduate wa masters ya medicine alisomea Stockholm Sweden aliporudi alikuta girlfriend wake kaolewa jamaa akaanza kuzindua kiporo alionywa na mme wa huyo sister jamaa akakomaa kwamba hajamgusa mwenye mke akautega Huo mtego unaitwa USINGA jamaa yetu bila kujua akaenda kula mzigo tena nyumbani kwa muolewa kilichomkuta ni historia ambayo haitofutika kwenye ukoo.

Huyiu jamaa aliweza kutoka mwenyewe kwenye ile nyumba akitembe kwa miguu na mikono kama mbuzi huku akigugumia kama lori lenye mzigo linapanda mlima kitonga wa enzi hizo, ndiye binadamu pekee aliweza kuishi siku 7 na hii yali ya kutisha na kuogofya, miguu na mkono yake ilikuwa migumu mithili ya mbao za mpingo alikonda akabaki kichwa tu na alikuwa anakunywa maji ndoo moja na nusu kwa siku baada ya kufa alivunjwa uti wa mgongo kwani alijikunja kabla hajafa.
 
Habarini Wana Jamvi.

Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma.

Picha Ilikuwa Hivi.

Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule Katika Harakati Za Maisha Si Nikakutana Na Mlembo Wa Kijiji?
Mtu Mzima Nikaona Isiwe Taabu Mbona Mtoto Anajileta Tu Acha Niombe Mzigo, Hile Kamba Ya Kwanza, Ya Pili Pisi Ikasema Imenikubali Lakini Ye Kaolewa Japo Mumewe Kasafiri Kwa Mda Sasa.

Nkaona Isiwe Kesi Acha Nimwache, Lakini Binti Akagoma Akadai Nae Kanikubali Basi Tufanye Siri Yetu, Nikaona Isiwe Taabu Acha Nami Leo Nile Kuku Wa Kienyeji.
Basi Bwana, Tukapanga Miadi Mida Ya Kukutana, Kweli Pisi Ikaja Eneo La Tukio, Mzeee Nikaona Dah Mimi Ndiyo Mimi Acha Nifaidi Leo(Kumbe Nisilolijua Ni Kama Usiku Wa Giza).

Hile Tumeanza Show, Tukapiga Sana Hadi Mida Ya Usiku Mnene, Pisi Ikaomba Kuondoka Iende Kwao, Nikamsindikiza, Hile Narudi Om Kufika Kulala Tu, Nilianza Kuumwa Kichwa Na Tumbo Sanaaaaaa, Nikajitahidi Kuvumilia Lakini Wapi, Ikabidi Niamshe Wenyeji Nikawaambia Naumwa Sana, Nikapelekwa Zahanati, Tibiwa Sana Lakini Hamna Kitu, Kufikia Saa Tatu Asubuhi Nikawa Nmekufa Kimazingara(Nina Sikia Na Kuona Kila Kitu, Lakini Siwezi Kuamka Wala Kutingisha Chochote).

Nikaanza Kuona Watu Wanalia Wakidai Nimekufa, Hadi Yule Demu Nlolala Nae Usiku Alikua Analia Hadi Kuzimia, Taratibu Zingine Za Kuusafirisha Mwili Wangu Zikawa Zinaendelee, Wakati Huo Mi Nashuhudia Kila Kitu, Natamani Niwaambie Mimi Mzima Lakini Siwezi.

Wakati Wa Kunisafirisha Taratibu Zote Zilitimia Nikawekwa Kwenye Jeneza Kwa Ajiri Ya Kurudishwa Mjini, Bahati Ilioje Binti Niliyelala Nae Akamweleza Ukweli Mmoja Wa Wazee Wa Kile Kijiji, Ghafla Msiba Ukahairishwa Na Watu Kutawanyishwa, Na Mimi Kubebwa Na Kupelekwa Kwa Mtaalamu(Mganga Wa Jadi), Nikafanyiwa Dawa Masaa Karibia 6, Mungu Mkubwa Nikaamka Nikiwa Mzima Wa Afya.

Nikaulizwa Kuwa Je Nilitembea Na Yule Binti? Nikasema Ndiyo, Wakasema Una Bahati Sana Binti Alijisema Lasivyo Ungezikwa Mzima. Kumbe Kile Kijiji Ndiyo Tabia Yao Hiyo Wana Wafunga Wake Zao, Na Binti Hakujua Kuwa Mumewe Kamcheza.

Kumbe Mume Wa Binti Kamfunga Mkewe, Ukilala Nae Tu Unakufa Kimazingara, Unazikwa Ukiwa Mzima Utafia Kaburini, Aiseeee Nimekoma Siji Rudia Tena Mke Wa Mtu Mimi.

Nimekoma

Tupe utamu wa friza za mochwari bro?
 
Hizo movie za kibongo bongo hizo zinawapoteza
 
Ipo dawa ktk baadhi ya wilaya za mkoa wa Tanga hasa Handeni na Kilindi ambapo mke hutegwa na mmewe bila yeye kujua na ni mtego wa mtu mmoja haurudii hadi uwekwe tena, mtego huu ni kwamba ukimchukuwa mke wa mtu abdala kichwa wazi akigusa ile Labia majora kabla minora haijafikiwa utahisi kishindo kikubwa kikiambatana na maumivu makali tumboni na hapo tayari guts and visceros yaani tumbo, ùtumbo, figo, maini vinaķatwakatwa kama msusa na on the spot muhusika ataanza kunya damu nzito ikiwa na vipande vya vile viungo vinavyokatwakatw.

Kikawaida mhusika aliyekumbwa na kadhia hii hatoweza kuongea wala kulalamika na hatokuwa na nguvu ya kujitoa pale kifuani au whatever the style na mwanamke atamsogeza huku jamaa akigugumua kwa maumivu mabaya na ya kutisha, kwa mfano kama walikuwa ndani kwa mwanamke basi jamaa ataburutwa hadi somewhere angalau isionekane alikuwa wapi na jamaa atakajikatia moto hapo, wengine wanaoenda porini mwanamke akiona hiyo hali humwacha jamaa hapo na kukimbia zake mara nyingi wawindaji walikuta mizoga ya aina hii mingi tu porini,

Nakumbuka kuna ndugu yangu akiwa graduate wa masters ya medicine alisomea Stockholm Sweden aliporudi alikuta girlfriend wake kaolewa jamaa akaanza kuzindua kiporo alionywa na mme wa huyo sister jamaa akakomaa kwamba hajamgusa mwenye mke akautega Huo mtego unaitwa USINGA jamaa yetu bila kujua akaenda kula mzigo tena nyumbani kwa muolewa kilichomkuta ni historia ambayo haitofutika kwenye ukoo.

Huyiu jamaa aliweza kutoka mwenyewe kwenye ile nyumba akitembe kwa miguu na mikono kama mbuzi huku akigugumia kama lori lenye mzigo linapanda mlima kitonga wa enzi hizo, ndiye binadamu pekee aliweza kuishi siku 7 na hii yali ya kutisha na kuogofya, miguu na mkono yake ilikuwa migumu mithili ya mbao za mpingo alikonda akabaki kichwa tu na alikuwa anakunywa maji ndoo moja na nusu kwa siku baada ya kufa alivunjwa uti wa mgongo kwani alijikunja kabla hajafa.
alistahili kifo.
 
Ipo dawa ktk baadhi ya wilaya za mkoa wa Tanga hasa Handeni na Kilindi ambapo mke hutegwa na mmewe bila yeye kujua na ni mtego wa mtu mmoja haurudii hadi uwekwe tena, mtego huu ni kwamba ukimchukuwa mke wa mtu abdala kichwa wazi akigusa ile Labia majora kabla minora haijafikiwa utahisi kishindo kikubwa kikiambatana na maumivu makali tumboni na hapo tayari guts and visceros yaani tumbo, ùtumbo, figo, maini vinaķatwakatwa kama msusa na on the spot muhusika ataanza kunya damu nzito ikiwa na vipande vya vile viungo vinavyokatwakatw.

Kikawaida mhusika aliyekumbwa na kadhia hii hatoweza kuongea wala kulalamika na hatokuwa na nguvu ya kujitoa pale kifuani au whatever the style na mwanamke atamsogeza huku jamaa akigugumua kwa maumivu mabaya na ya kutisha, kwa mfano kama walikuwa ndani kwa mwanamke basi jamaa ataburutwa hadi somewhere angalau isionekane alikuwa wapi na jamaa atakajikatia moto hapo, wengine wanaoenda porini mwanamke akiona hiyo hali humwacha jamaa hapo na kukimbia zake mara nyingi wawindaji walikuta mizoga ya aina hii mingi tu porini,

Nakumbuka kuna ndugu yangu akiwa graduate wa masters ya medicine alisomea Stockholm Sweden aliporudi alikuta girlfriend wake kaolewa jamaa akaanza kuzindua kiporo alionywa na mme wa huyo sister jamaa akakomaa kwamba hajamgusa mwenye mke akautega Huo mtego unaitwa USINGA jamaa yetu bila kujua akaenda kula mzigo tena nyumbani kwa muolewa kilichomkuta ni historia ambayo haitofutika kwenye ukoo.

Huyiu jamaa aliweza kutoka mwenyewe kwenye ile nyumba akitembe kwa miguu na mikono kama mbuzi huku akigugumia kama lori lenye mzigo linapanda mlima kitonga wa enzi hizo, ndiye binadamu pekee aliweza kuishi siku 7 na hii yali ya kutisha na kuogofya, miguu na mkono yake ilikuwa migumu mithili ya mbao za mpingo alikonda akabaki kichwa tu na alikuwa anakunywa maji ndoo moja na nusu kwa siku baada ya kufa alivunjwa uti wa mgongo kwani alijikunja kabla hajafa.
Bado watu hawaamini kuwa haya mambo yapo
 
Bado watu hawaamini kuwa haya mambo yapo
Kuamini au kutoamini uwepo wa hii mizizi hakuihamishi huko iliko tumeikuta tutaiacha kama mapenzi maana kuna watu hawaamini uwepo hata wa mapenzi na akati ndo yamewaleta
 
Habarini Wana Jamvi.

Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma.

Picha Ilikuwa Hivi.

Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule Katika Harakati Za Maisha Si Nikakutana Na Mlembo Wa Kijiji?
Mtu Mzima Nikaona Isiwe Taabu Mbona Mtoto Anajileta Tu Acha Niombe Mzigo, Hile Kamba Ya Kwanza, Ya Pili Pisi Ikasema Imenikubali Lakini Ye Kaolewa Japo Mumewe Kasafiri Kwa Mda Sasa.

Nkaona Isiwe Kesi Acha Nimwache, Lakini Binti Akagoma Akadai Nae Kanikubali Basi Tufanye Siri Yetu, Nikaona Isiwe Taabu Acha Nami Leo Nile Kuku Wa Kienyeji.
Basi Bwana, Tukapanga Miadi Mida Ya Kukutana, Kweli Pisi Ikaja Eneo La Tukio, Mzeee Nikaona Dah Mimi Ndiyo Mimi Acha Nifaidi Leo(Kumbe Nisilolijua Ni Kama Usiku Wa Giza).

Hile Tumeanza Show, Tukapiga Sana Hadi Mida Ya Usiku Mnene, Pisi Ikaomba Kuondoka Iende Kwao, Nikamsindikiza, Hile Narudi Om Kufika Kulala Tu, Nilianza Kuumwa Kichwa Na Tumbo Sanaaaaaa, Nikajitahidi Kuvumilia Lakini Wapi, Ikabidi Niamshe Wenyeji Nikawaambia Naumwa Sana, Nikapelekwa Zahanati, Tibiwa Sana Lakini Hamna Kitu, Kufikia Saa Tatu Asubuhi Nikawa Nmekufa Kimazingara(Nina Sikia Na Kuona Kila Kitu, Lakini Siwezi Kuamka Wala Kutingisha Chochote).

Nikaanza Kuona Watu Wanalia Wakidai Nimekufa, Hadi Yule Demu Nlolala Nae Usiku Alikua Analia Hadi Kuzimia, Taratibu Zingine Za Kuusafirisha Mwili Wangu Zikawa Zinaendelee, Wakati Huo Mi Nashuhudia Kila Kitu, Natamani Niwaambie Mimi Mzima Lakini Siwezi.

Wakati Wa Kunisafirisha Taratibu Zote Zilitimia Nikawekwa Kwenye Jeneza Kwa Ajiri Ya Kurudishwa Mjini, Bahati Ilioje Binti Niliyelala Nae Akamweleza Ukweli Mmoja Wa Wazee Wa Kile Kijiji, Ghafla Msiba Ukahairishwa Na Watu Kutawanyishwa, Na Mimi Kubebwa Na Kupelekwa Kwa Mtaalamu(Mganga Wa Jadi), Nikafanyiwa Dawa Masaa Karibia 6, Mungu Mkubwa Nikaamka Nikiwa Mzima Wa Afya.

Nikaulizwa Kuwa Je Nilitembea Na Yule Binti? Nikasema Ndiyo, Wakasema Una Bahati Sana Binti Alijisema Lasivyo Ungezikwa Mzima. Kumbe Kile Kijiji Ndiyo Tabia Yao Hiyo Wana Wafunga Wake Zao, Na Binti Hakujua Kuwa Mumewe Kamcheza.

Kumbe Mume Wa Binti Kamfunga Mkewe, Ukilala Nae Tu Unakufa Kimazingara, Unazikwa Ukiwa Mzima Utafia Kaburini, Aiseeee Nimekoma Siji Rudia Tena Mke Wa Mtu Mimi.

Nimekoma
Mfu
 
Kuamini au kutoamini uwepo wa hii mizizi hakuihamishi huko iliko tumeikuta tutaiacha kama mapenzi maana kuna watu hawaamini uwepo hata wa mapenzi na akati ndo yamewaleta
True bro
 
Kijana ulikuwa hujui watu wakisema mke wa mtu ni sumu? Sio kila kitu cha kujaribu embu fuata yasemwayo utakuja kujuta mzee baba
 
Back
Top Bottom