kijana255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 277
- 257
Ebanaa ee wanajukwaa naandika hii stori ya ukweli uku nikiwa sina majibu na siamini kama swahiba wangu wiki ijayo anaoa.
Jamaa alikuwa sana muumini wa mitandao yetu hii ya badoo, tinder na mingine, sasa katika pita pita zake akakutana na mwanamke badoo ni wa kawaida tu kimuomekano wakawa wameanza mahusiano kama mwaka sasa umepita.
Sasa juzi jamaa kaja na mualiko wangu anataka kumuoa yani amuweke ndani kabisa nikamwambia unakumbuka lakin wanawake waliopo kule wengi ni malaya sana, jamaa akanipa stori kwa kifupi sana,
Kwamba baada ya kukutana na mchumba na kuanza kuwasiliana mchumba akakili kwamba aliingia badoo ili tu ajue ni kitu gani huwa kinafanyika kule lakini pia aliingia kwa sababu ya kutangaza bidhaa zake ambazo alikuwa anauza lakini wakakubaliana kwamba wafute app wakaendelea na mahusiano,
Nimepokea mwaliko kwa heshima zote na kesho naenda chukua suti matata sana kwa ajili ya kwenda kula harusi ila moyo bado una wasiwasi kama kweli jamaa anaenda kuoa moja wa wtt tunao wachakata kila kukicha.
N.b Ya ngoshwe tumuachie ye mwenyewe, Na wengine mnipe experience yenu aisee.
Jamaa alikuwa sana muumini wa mitandao yetu hii ya badoo, tinder na mingine, sasa katika pita pita zake akakutana na mwanamke badoo ni wa kawaida tu kimuomekano wakawa wameanza mahusiano kama mwaka sasa umepita.
Sasa juzi jamaa kaja na mualiko wangu anataka kumuoa yani amuweke ndani kabisa nikamwambia unakumbuka lakin wanawake waliopo kule wengi ni malaya sana, jamaa akanipa stori kwa kifupi sana,
Kwamba baada ya kukutana na mchumba na kuanza kuwasiliana mchumba akakili kwamba aliingia badoo ili tu ajue ni kitu gani huwa kinafanyika kule lakini pia aliingia kwa sababu ya kutangaza bidhaa zake ambazo alikuwa anauza lakini wakakubaliana kwamba wafute app wakaendelea na mahusiano,
Nimepokea mwaliko kwa heshima zote na kesho naenda chukua suti matata sana kwa ajili ya kwenda kula harusi ila moyo bado una wasiwasi kama kweli jamaa anaenda kuoa moja wa wtt tunao wachakata kila kukicha.
N.b Ya ngoshwe tumuachie ye mwenyewe, Na wengine mnipe experience yenu aisee.