Joan S
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,382
- 9,503
Cha muhimu uaminifu na upendo wa kweli tu. Haijalishi mmekutana wapi, unaweza mkuta church na kumbe anachakatwa na watu ovyo ovyo km kawaida. Wengine wanaingiaga tu sehemu Ili kujua nini kinaendelea..... Ila kule Badoo........ acha tu nisiseme mengi mie