msomi kweli
Member
- Feb 8, 2012
- 31
- 20
Unajua vijana wa kitanzania watundu sana... hebu wasikie hawa.
Kama umezaliwa nyota yako ya mbwa, basi usishangae kuwa mlinzi mpaka kufa kwako.
Kushupalia vitu usivyovijua, ni sawa na kuingiza vocha kwenye simu bila ya kuikwangua.
Enyi kizazi cha maandamano,jiepusheni na misafara ya ajabu kama ya Alan quaterman na kizazi cha wajivuni..
Mimi nawaoana ona tu na kuwasikia hawa vijana nyinyi wenzangu mmewaelewaje hawa
Kama umezaliwa nyota yako ya mbwa, basi usishangae kuwa mlinzi mpaka kufa kwako.
Kushupalia vitu usivyovijua, ni sawa na kuingiza vocha kwenye simu bila ya kuikwangua.
Enyi kizazi cha maandamano,jiepusheni na misafara ya ajabu kama ya Alan quaterman na kizazi cha wajivuni..
Mimi nawaoana ona tu na kuwasikia hawa vijana nyinyi wenzangu mmewaelewaje hawa