Aisee! Ndugu wengi wa kike ni shida

Aisee! Ndugu wengi wa kike ni shida

Unaandika utasema kama vile mtu mwenye busara kumbe tayar umeshamla ha ndugu yako na inaonekana hiyo michezo unaipenda Sana,,, inawezekana ukoo wenu unalaana
 
Ni hulka tu za ukoo wenu mna element nyingi za umalaya.
 
Kuna hii hali inanikutaga, yaani utakuta ndugu zangu wa kike upande wa baba na upande wa mama wanajirahisisha sana kwangu ili nifanye nao ngono. Dah! Hawa wadada wakishajua wewe mwanaume ni ndugu yao, ndugu wengi wa kike hawana ile ya kusema huyu ni ndugu yangu wa kiume, wataishia kuweka mitego ya kingono ilimradi mwanaume ule mzigo.

Tena hawa ndugu wa kike wanaleta ukaribu na mazoea yaliyopitiliza, mwanaume unapotezea hayo mazoea bcoz unajua huyu ni ndugu yangu wa kike, kumbe mdada mwenyewe kakutamani kingono ilihali ni nduguyo, sasa hapo mwanaume usipokua makini unajikuta umegegeda ukoo mzima upande wa mama na wa baba.

Mimi binafsi nina ndugu wa kike kama watatu hivi ambao walinitega, mmoja nligegeda wengine wawili nliepuka mitego yao hapo bado wale ambao sijakaa nao karibu niwajue tabia zao vizuri.

Hata kuna baadhi ya washkaji zangu walikiri hii hali kuwatokea, walidai wanategwa sana kingono na ndugu zao wa kike, wadada embu jaribuni kuheshimu ndugu zenu wa kiume, dooh

Waliokutana na visanga vya aina hiyo toka kwa ndugu zao wa kike njooni mtoe experience..
We watafune tu maana hakuna namna
Mbona yule jamaa wa kwenye biblia aliwatafuna binti zake wawili ili waendeleze ukoo
 
Nilitaka nije nitoe ushuhuda jinsi tunavyowatesa kaka zetu kumbe unazungumzia shida hiyo, kwa heri [emoji119]

Hahaa humu jf wamenigeuzia mm kibao kwamba nawatamani ndugu zangu, mm ndugu zangu wa kike siwatongozi, ila wakijileta sana nitawagegeda Khantwe
 
Ukoo wenu una gundu kizazi na kizazi unatamanije ndugu wa damu, Kuna watu hamna haya haki.

Kuna ndugu wengine wa kike ni warembo, chura hiyoo, dooh kwavile ni ndugu sasa ufanyeje, kidume unabakia kula kwa macho cariha
 
Bro! Your totally wrong!

Wadada wapo hv! Ukiwa ndugu yako huwa wanajiachia kwako na si kwa swala la ngono hapana they feel proud of having you! Wanajiskia raha sana kuwa na ww na kujiona kuwa ni mtu wa karibu! Wapo hvyo huwaa sio swala la ngono

Hata mimi niliwaza hivyo hivyo Kama wewe, baadae nligundua kumbe wenzangu walimaanisha kukwichi kwichi KUDOLE CHA MWISHO
 
Kama mwanzoni kulikuwa na Adam na Hawa tu...wengine walitoka wap? we kula tu
 
Kuna ndugu wengine wa kike ni warembo, chura hiyoo, dooh kwavile ni ndugu sasa ufanyeje, kidume unabakia kula kwa macho cariha
Hilo bado tatizo, mbona tuna ndugu ma handsome kuliko mababy tunao date nao lakini hata wazo la mapenzi juu yao huwa hamna kabisa
 
Utakapo oa ukampata mtoto wako wa kwanza awe wa kike ndo utajua ubaya wa kutowaelewa watoto wa kike. Hawa wana tabia ya kukuamini mno wakijua kuwa una uhusiano mkubwa nao. Hata mama aliyeolewa hana wasiwasi na babake. Hivyo ukimwona hivyo unadhani amejilengesha. That is what we call Love
 
Hahaha! Kuna kisa kimetokea hapa mtaani nikijumlisha na swali lako napata majibu sasa.
Kiongozi mm ni mpare homozygous yaan baba, mama, bibi na babu wote ni wapare
Lkn kwa hili la kulana ndugu limekithiri sana tena wakutane waliorithishwa majina ya bibi na babu ndio hakuna kutongozana yaan [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom