kilaza mwenzangu
Member
- Oct 21, 2017
- 66
- 59
Hayo ndio mafuta yaliongezwa ktk ndege kubwa iliotua Dar juzi kwa mujibu wa Maulidi Kitenge ktk uchambuzi wamagazeti.
Swali hiyo ndege ina uwezo wa kubeba lita ngapi ktk tenki lake?maana hayo tumeambiwa yakuongezea tu!
malori mawili ni niyakuongezea tu!au bwebwe?pia uzito wa mizigo na abiria na uzito wake yenyewe inapaa ikiwa na uzito gani?mmm hapa ndio mi najikubari nikilaza ktk baazi yambo,wenye kujua tusaidiane
Swali hiyo ndege ina uwezo wa kubeba lita ngapi ktk tenki lake?maana hayo tumeambiwa yakuongezea tu!
malori mawili ni niyakuongezea tu!au bwebwe?pia uzito wa mizigo na abiria na uzito wake yenyewe inapaa ikiwa na uzito gani?mmm hapa ndio mi najikubari nikilaza ktk baazi yambo,wenye kujua tusaidiane