Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,888
Yangekua yanatua walau kwa ma4 tu kwa mwezi tungekua tunaingiza pesa nzuri ya mafuta through kodi; haiwezekani mhe akafanya fitina walau akina KLM, Emirate nk yakawa pia yanatua Dar!?
Umeshachelewa mkuu mbona limeshaondoka,ng'arisha ktk youtubeLikianza kuondoka tushtuane jamani tuje airport kung'arisha macho
Buku,ninayo unayataka?unaletewa hadi ulipoLita moja sh ngapi?
hapa tatizo hujui semi trailer ni nin pia acha uongo hizo gari unasemea ni pulling kwenye ujenz wa hiyo road hazikuwahi beba lita ulizotaja Tz hakuna gari ya kubeba zaidi ya lita elf 42 kwa ekseli 7.halafu mafuta tani 10 ni sawa na lita kama elf 8-12.Nmekuwa najenga barabara kuu ya mwanza to singida niliona magari mengi semi trailer zimebebeba tanki la mbele lita 40,000 na nyuma 60,000. sasa hiyo ni semi moja tu. labda cha kushangaza hapa ni kuona ndege moja ikijazwa lita 97,000. mbona hata hizo zinazotua hapa zinakula tani 10 za mafuta?
tusingelala miaka miwili,maana tbc ingeanzisha kipindi maalumu kwa ajili hilo dude,Hivi vibajaji vyetu tunapigiwa navyo kelele. Ingekuwa ndio tumenunua hilo dude sijui ingekuwaje?
Zingetungwa hadi nyimbo kabisa.tusingelala miaka miwili,maana tbc ingeanzisha kipindi maalumu kwa ajili hilo dude,
Chanzo babu,hofu yangu uzito wa kuinuka ili ipae maana nikiangalia hizi lori za mafuta zinavyopata tabu kupandisha milima kwasababu mzigo mkubwa mmmh
Ha haaaa haa......nimecheka sana!tusingelala miaka miwili,maana tbc ingeanzisha kipindi maalumu kwa ajili hilo dude,
tusingelala miaka miwili,maana tbc ingeanzisha kipindi maalumu kwa ajili hilo dude,
kwa staili hii. Mkulu lazima apitishe sheria ya kila anayecomment awe known, maana ungejulikana ungepewa uprodyuza wa kipindi cha ndege maalumu hapa TBC

Kwa ufupi ni tani za uzito mia tatu na ishirini na tatu na mia tano.323,545 L / 85,471 USga
Na kila secunde moja linakula gallon moja ya kiingereza yaani lita nne za wese kwa swkunde moja. Likienda mwanza kutokea Dar linakula lita 15000 kwa hesabu za haraka haraka. Wanaotaka ndege kubwa kwa domestic use wajitafakari.323,545 L / 85,471 USga
sema tani 575 au uzito wa malori100 ya tani 5.7 kila moja au malori 50 ya tani 11.4 kila moja !!Max.takeoff weight for Airbus A380 is 575,000 kg.huu ni uzito ambao ndege hii inaweza kuamka nao kutoka ardhini inapokuwa inapaa...
kuna mtu angekesha mbele ya kamera za waandishi !!!!Hivi vibajaji vyetu tunapigiwa navyo kelele. Ingekuwa ndio tumenunua hilo dude sijui ingekuwaje?
Mkuu angalia takwimu.zako, , kwa sheria za tanroad, uzito.mkubwa kabisa unaoruhusiwa kubebwa na malori ni tani 56, na hii ni Gvm kwa dolly trailers, maarufu kama pulling, kwa semi trailer maximum gvm ni tani 50,mind you gvm ni uzito wa lori lote jumlisha mzigo., maana yake ni kuwa ili uweze kubeba tani nyingi basi uzito tupu wa lori unatakiwa uwe chini.hasa, kama ni semi ili uweze kubeba tani 30basi lory empty inatakiwa iwe na tani angalao 18, ie 18+30 = 48tons (gvm)Nmekuwa najenga barabara kuu ya mwanza to singida niliona magari mengi semi trailer zimebebeba tanki la mbele lita 40,000 na nyuma 60,000. sasa hiyo ni semi moja tu. labda cha kushangaza hapa ni kuona ndege moja ikijazwa lita 97,000. mbona hata hizo zinazotua hapa zinakula tani 10 za mafuta?
kuna mtu angekesha mbele ya kamera za waandishi !!!!