Aisee, kumbe mapenzi ya kweli yapo hadi leo?

Aisee, kumbe mapenzi ya kweli yapo hadi leo?

Ndg msomi na muhitimu wa chuo kikuu[emoji2957] Hiyo stylistics yako haiapply Kila mahali. Unafikiri Kila mtu angetumia language stylistic codes anazozijua angetosha hapa?
Sawa mkuu
 
Mdogo wangu...!! Usijiaminishe na wala Usijihakikishie, ya chuoni ni yakichuoni tu, huku kitaa ni dunia ingine kabisa...!! Si ajabu baada ya muda flani utatuandikia tena ukiomba ushauri.

Kuna wahanga wengi aisee..!
Sidhani mkuu ningehadithia hapo mengi niliyoyaona kwake uzi ungekua mrefu zaidi nimeona bora nichote tu baadhi ya episode
 
Uzuri wa hawa viumbe ni kwamba wanao ule uwezo wa asili wa kwamba hata awe na mahusiano na watu wanne anaweza kumfanya kila mtu kati ya hao jamaa wanne aamini yuko peke yake.
Wakati nipo nae chuoni nimemdadisi Sana Mara kadhaa nimemfanyia ambush za gafla gafla sijaona dosari yeyote kwake
 
if you don't marry her the curse will fall on you....it seems she has a true love for you but you don't have a true love for her.....yangu ni hayo tu mpende usiwe unamsaliti saliti kwa kudate na wanawake wengine

muwe na maisha marefu
 
if you don't marry her the curse will fall on you....it seems she has a true love for you but you don't have a true love for her.....yangu ni hayo tu mpende usiwe unamsaliti saliti kwa kudate na wanawake wengine

muwe na maisha marefu
Mkuu Siwezi msaliti kabisa,, niliapa sitokuja oa mwanamke niliesoma nae Maana maisha ya Chuoni sio aisee!.. Lakini kwa niliyoyaona kwa huyu binti Mungu ashukuriwe.. Nitampenda milele
 
Back
Top Bottom