Microgynon
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 827
- 1,004
Missed uSawa msomi wa chuo

Missed uSawa msomi wa chuo

Common things are common but rare things happen.Poleni na majukumu wakuu! Niende 1kwa1 kwenye Mada husika Toka nikiwa mtoto nimekua mtu wa kuwaogopa Sana watoto wa kike hadi mwaka huu nimemaliza degree yangu Sina ujasiri na watoto wa kike nikitaka nifloo nae na maongezi ni hadi anisogelee hapo nitaongea japo kwa less confidence.
Lakini Hata hivyo, Hali hii imenisaidia kumpata girlfriend ambaye naamini Ana mapenzi ya kweli na mimi. KWANINI?
SABABU: Toka nimekua nae kama rafiki yangu wa kike (tumesoma darasa 1 chuo ki1),
Nimeshuhudia mengi Sana. 1 Kati ya hayo ni hili, nimejaribu Kua na mahusiano na mabint kadhaa wakati yeye yupo (japo sio kwa kumaananisha) aise amewapindua wote yani kila binti alikua anamface 1kwa1 ili amwambie amwache mme wangu miaka mi3 yote hadi tumemaliza chuo na ni , zaidi ya mabinti 4. angekua Hana mapenzi na mimi angenitua huu ndo ukweli.
Jingine licha ya kumfanyia yote hayo wiki ilopita amekataa barua ya posa kwao kwa ajili yangu image Nina kabint kengine then yeye anajua halaf kwao Kuna jamaa kajitokeza amuoe lakini amechomoa.. Hii ni kali kwa ninavyowajua hawa viumbe sidhani kama angekubali kuendelea tena Na mimi.
Nawakumbusha tena mapenzi ya kweli yapo haijalishi wote mmefanana level za elimu, uchumi au amekuzidi au umemzidi. Wanawake wanapenda Mbaya mbovu.
Nawasilisha karibuni kwa upembuzi wa kina zaidi. Asanteni
Reading btn lines....hahahaaaUlikua unaogopa wanawake,Ila ‘rafiki’ Yako akawa anawaambia wakuache wewe ni mume wake,,,,km ulikua less confident na women hao uliokuwa unawagombanisha walitoka wapi ?
Exactly!Common things are common but rare things happen.
Tell her!Reading btn lines....hahahaaa
Reading btn lines....hahahaaa
Nakukubali sana ulivyomsoma ktkt ya mistari maana alitaka kituuzia chaiMkuu kasemaje kwani?lol
Mkuu umesahau kwenye LG 100 watu wanajifunza note taking while in lecture room? Pengine hiyo imemuathiri.Kilicho nishangaza ni pamoja na kumaliza elimu ya juu/chuo, lakini bado unaandika kama class 10 1kwa1
ndio mkweli
Ndg msomi na muhitimu wa chuo kikuuSamahan mkuu nimesoma linguistic hiyo ni Aina flani ya uandidhi tu.. Kwenye topic fulani ya Stylistics haimzuii mtu kuongea au kuandika Aina fulani ya uandidhi au uongeaji ilimradi tu nisiharibu Maana ama content.
Hiyo stylistics yako haiapply Kila mahali. Unafikiri Kila mtu angetumia language stylistic codes anazozijua angetosha hapa?Nimewahi kaa nayo Mara nyingi Sana sijaona loloteChukua simu ya mpenzi wako ukae nayo japo lisaa limoja tu
Usipoona maruerue mle,ndi ujihakikishie mapenzi ya kweli bado yapo
Dunia hii ya leo labda upendane na Tarzan tundio mkweli
Manake TARZAN hajawahi ishi na binaadam tangu azaliwe![]()
Kwanini?Sio kwa dunia ya sasa
Nina wasiwasi na huyo mwanamke