kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,993
Poleni na majukumu wakuu! niende 1kwa1 kwenye mada husika toka nikiwa mtoto nimekua mtu wa kuwaogopa Sana watoto wa kike hadi mwaka huu nimemaliza degree yangu sina ujasiri na watoto wa kike nikitaka nifloo nae na maongezi ni hadi anisogelee hapo nitaongea japo kwa less confidence.
Lakini hata hivyo, hali hii imenisaidia kumpata girlfriend ambaye naamini ana mapenzi ya kweli na mimi kwanini?
SABABU: Toka nimekua nae kama rafiki yangu wa kike (tumesoma darasa 1 chuo ki1),
nimeshuhudia mengi sana. 1 kati ya hayo ni hili, nimejaribu kua na mahusiano na mabinti kadhaa wakati yeye yupo (japo sio kwa kumaananisha) aise amewapindua wote yani kila binti alikua anamface 1kwa1 ili amwambie amwache mme wangu miaka mi3 yote hadi tumemaliza chuo na ni , zaidi ya mabinti 4. angekua hana mapenzi na mimi angenitua huu ndo ukweli.
Jingine licha ya kumfanyia yote hayo wiki ilopita amekataa barua ya posa kwao kwa ajili yangu image nina kabinti kengine then yeye anajua halafu kwao Kuna jamaa kajitokeza amuoe lakini amechomoa hni kali kwa ninavyowajua hawa viumbe sidhani kama angekubali kuendelea tena na mimi.
Nawakumbusha tena mapenzi ya kweli yapo haijalishi wote mmefanana level za elimu, uchumi au amekuzidi au umemzidi. wanawake wanapenda mbaya mbovu.
Nawasilisha karibuni kwa upembuzi wa kina zaidi. Asanteni
Lakini hata hivyo, hali hii imenisaidia kumpata girlfriend ambaye naamini ana mapenzi ya kweli na mimi kwanini?
SABABU: Toka nimekua nae kama rafiki yangu wa kike (tumesoma darasa 1 chuo ki1),
nimeshuhudia mengi sana. 1 kati ya hayo ni hili, nimejaribu kua na mahusiano na mabinti kadhaa wakati yeye yupo (japo sio kwa kumaananisha) aise amewapindua wote yani kila binti alikua anamface 1kwa1 ili amwambie amwache mme wangu miaka mi3 yote hadi tumemaliza chuo na ni , zaidi ya mabinti 4. angekua hana mapenzi na mimi angenitua huu ndo ukweli.
Jingine licha ya kumfanyia yote hayo wiki ilopita amekataa barua ya posa kwao kwa ajili yangu image nina kabinti kengine then yeye anajua halafu kwao Kuna jamaa kajitokeza amuoe lakini amechomoa hni kali kwa ninavyowajua hawa viumbe sidhani kama angekubali kuendelea tena na mimi.
Nawakumbusha tena mapenzi ya kweli yapo haijalishi wote mmefanana level za elimu, uchumi au amekuzidi au umemzidi. wanawake wanapenda mbaya mbovu.
Nawasilisha karibuni kwa upembuzi wa kina zaidi. Asanteni