Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,219
- 3,427
We acha tu. Mimi nilifikiri mapinduzi na natafuta pa kukimbilia sioni.Kweli kabisa wanazingua sana maana watu wana pressure, fikiria mfano me nipo ugenini Dom nilivyosikia tu muungurumo kama mabomu nikajua yale yale ya G Mboto.