Hii post 100% kaandika Mke wa Jamaa. Kapata fununu huyo demu anatembea na Mme wake.
Sawa mkuu nitaku foro..
Huyu bado kidogo tu angetukana..
Duuuu "dided by me"
waha kwa mbwembwe kitu cha chuma juu ya chuma kinaitwa ndegewewe uko ndani ya ndege au treni la kigoma?![]()




