Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Huyu lazima atakuwa polisi au mwanajeshiView attachment 692115
Sijui mtoto wa Mama Jendelo alikua anamaanisha nini hapa
Huyu lazima atakuwa polisi au mwanajeshiView attachment 692115
Sijui mtoto wa Mama Jendelo alikua anamaanisha nini hapa
Hii latino kabisaaa
Sababu umeona yuko kwenye maanga? You are very collect. Atakuwa na taaluma moja kati ya hizo tajwa.Huyu lazima atakuwa polisi au mwanajeshi
Tatizo akili zangu butu am not creative. Ningependa kuwajoin wewe na mshana jr. ila nitaishia kulike tu basi.
Na mimi wacha niongee,huyu dada anaonekana komando,dogo lazima awe anapigwa makofi,mpende tu jamaa.
Jamaa kaandika kihaya kabisa ,,,itakuwa ata la saba hajafika
Numbisa nimevumilia nimechoka, nimecheka mbavu tatu sina, nimetoka hospitali sasa sikia Numbisa nikiachika shauri yako maana mzee haelewi kinachonitoa machozi na kwikwi anaishia kulipa bill za hospitali. We haya. keep posting I love them though.
Hahah anaitwa philosoph
Hahahaha huyu mama ananchekeshaga sana