mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
Watanzania waliopo facebook hatari sana
Numbisa
ingekuwa jambo la heri kama ungekuwa unaficha user name za hao watu na ingewwezekana na sura uzifiche kidogo.
mfano tu siku ukakuta picha ya mzazi wako au rafiki yako nazani itakuumiza kidogo
Hizi smart phone hizi jamani
nimekuelewa kama zimeshasambaa hadi huko kwa mange hata huku tukizificha haisaidiWazo zuri ila hizi picha sizifati fb. Mie nazidownload insta zipo zimejaa tele. Wazazi wangu hawapo fb na hawapend kabisaa kuanikwa huko. Ila ikitokea ntajikausha tu na kuiacha picha hio huko huko ilipokua na kama ni rafiki wapo ila hawana vioja hivi.
Wanafanana kama mapacha
Hii nayo ilitakiwa kuwa huko fb, 'profire'Profire yake huyu kule facebook, kaandika kamaliza chuo kikuu dsm
Ngoja niende hewani nimpe pole huyu