mkuu piga *147*500# unapata mb 60,dk 20 sms 150 kwenda mitandao yote...kwa hapa voda nimewakubali.!!tsh 749 unapata 30min+unlimited sms+ 250mbs utasemaje wananiibia? Halafu kifurushi kinakaa masaa24! Tofauti na voda saa 6 usiku kifurushi kinakata!
Na voda hawana kifurushi cha 500, wanacho cha tsh 450-day-unapata 15min+100sms+50mbs !
Na wao airtel wanacho kama hicho cha day tsh 499 -day-25 min+200sms+75mb
haya sasa embu linganisha mwenyewe nani anaibiwa.
cha wiki cha airlel ndo kiboko 2000 wiki nzima sms 700 dk 70 mb za kutosha
Hapana mimi sio mfanyakazi wa airtel , ni kwamba nimefurahishwa tu na vifurushi vyao vya AIRTEL YATOSHA.....!!
TSH 749 -DAY-30 MIN (kupiga mitandao yote)+ 250 MB !
TSH 4,999-WEEK-210 MIN (kupiga mitandao yote)+ 1.5 GB !
bofya *149*99#
Nimeitoa laini yangu uvunguni sasa nimerudi AIRTEL kwa muda......
Tatizo lipo ktk spidi, mb wanatoa nzuri airtel but spidi iko chini. Warekebishe spidi.
Jamani hata Voda nao wako vizuri kwa vifurushi vyao. Tsh. 350/= (dk. 10) na Tsh. 500/= (dk. 20). pia wanatoa zawadi, mathalani mimi nimepewa Tsh. 20,000/= kama salio, kutumia kwa siku 3 kupiga voda-voda. Wanatupa unafuu wa kuwasiliana kwa kweli! Wale wanaotumia Zantel na Tigo hebu mtujuze wana nini kizuri?
5999 Tsh unapata 275min(mtandao wowote) unlimited sms, na 3GB kwa wiki!! Hii kweli Yatosha...
mkuu piga *147*500# unapata mb 60,dk 20 sms 150 kwenda mitandao yote...kwa hapa voda nimewakubali.!!
Tigo huduma ya kabang si mchezo. 9,000 kwa wiki unakua na dkk 150 tigi to tigo na 150 other networks. Imenipunguzia gharama
Airtel have bit the rest....Airtel yatosha imekaa vizuri ukiiangalia Kila upandeTuambie kwanza umelamba ngapi kutoka kwa hao waliokutuma, kabla hatujalihamishia tangazo lako jukwaa la matangazo tukutoze kitu kidigo?
airtel tsh 499, unapata 25min+200sms+75mbs
nemekubaliana na wewe,leo nimefufua lain Yangu ya Airtel nikaenda kuangalia vifurushi vya wiki...... sina hamu tena voda.!!