Airtel wanajaribu kuzima mtandao

Airtel wanajaribu kuzima mtandao

Halotel simu hazitoki, ukipigwa upande wa pili haukusikii unaweza dhani simu imezingua microphone.
 
ulivyosema kuwa ngoja niwaite airtel, ikabidi niwachungulie..majibu niliyopata ni
1. joined jan 9 2011
2.last seen jan 9 2011

nimejiuliza maswali mengi likiwemo "wataitika?"
huyo ni jamaa tu aliyeamuaga kujiita airtel na si airtel wenyewe Jamaa
 
Back
Top Bottom