BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Shame shame shame on you airtell
niliwahi kuandika hapa thread ya watanzania mnaibiwa na mitandao msikimbilie hizi takataka
zinaitwa ati shindano ...shindano la....uhuni mtupu..kuna mtu aliipgiwa simu akaambiwa na tigo
atapewa kiasi kadhaa atangazwe mshindi tangu kesho ssina hamu na haya mashindano yao
soma tanzania daima pg 4
mteja kilema aiburuza mahakamani airtell
mteja wa kampuni ya simu za mkononi airtell bernad tobiasi ameiburuza kampuni ya airtell kwa kudai fidia ya million 60 kwa kumtangza mshindi wa promosheni ya kwanjuka sms.....lakini ikashindwa kumpatia million 50..
Tobiasi ambae ni mlemavu wa miguu na mikono anatetewa na kituo cha haki za binadamu wakili fulgence massawe kwenye kesi ya madai namba 12/2012 ambayo tayari imeshapangiwa hakimu
kwa mujibu w akesi hiyo tobiasi ambae ni mteja wa airtell mwenye namba 0686 163 144 tobiasi alianza kushiriki mashindano hayo tangu mei 2011 na mshindi alitakiwa kupewa million 50
wakili massawe amesema mteja wake alitangazwa kuwa mshindi mwaka jana kw akupigiwa na mfanyakazi mwenye namba 0784 100 778
wakili massawe anasema mteja wake alipanda gari kuja dar toka kijijini na alipofika kwenye ofisi za airtell aliambiwa yeye sio mshindi kabisa ..alipoanza kulalamika na kuanza kupiga simu kwa ndugu wa karibu alishangaa kuitwa na mmoja wa wafanyakazi na kuulizwa namba yake ..baada ya dk kadhaa akaja akamwambia yeye alijishindia million moja na sio million 50....akasema alipopigiwa aliambiwa million 50 na sio million 1..hata hivyo akasema wampatie million 1 akisubiri kueleweka kwa hiyo mil 49 iliobakia ambapo mpaka sasa hata miatano yaani sh 500 ajapewa na airtell
katika kituko kisichovumilika wakili masawe anasema kabla ya kufungua kesi hii niliwasiliana na airtell ambapo walikiri kumpigia simu mteja huyo kama mshindi na kuwauliza kwa nini wanakataa kumlipa hela zake...kampuni ya airtell ilidai ilishangaa walipompigia waliongea na thobias lakini walipopga baadae akapokea mwanamke ambae ni mkewe....hata hivyo wakili massawe amaesema amewapelekea vithibitisho kuonyesha tobias nimlemavu wa masikio lakini akuna juhudi zilizofanywa kumlipa haki zake..
Aidha alidai kwa kuwa kampuni hiyo ndio ilimpigia kama mshindi basi atawajibika kuhakikisha analipwa haki zake zote na hela yake million 50 pamoja na usumbufu wa million 10 jumla million 60..wakili massawe anaiomba mahakama iamuru mteja wake alipwe kiasi hicho na kutoa adhabu kali kama fundisho kwa makampuni yanayotumia bahati nasibu kudanganya watu kujipatia fedha zisizo halali kkwa kuwahadaa watu na kuwapiga picha huku awapewei pesa zao.....
Kwa niaba ya wana jf mh wakili f massawe tuko nyuma yako na naamini upumbavu huu autorudiwa tena na mitandao ya simu na watanzania muache ujinga wa kupenda vya dezo na makampuni nayo yako kibishara zaidi wanacheza dili mnaona watu wanakabidhiwa million kadhaa mnahisi kwako ni rahisi
mungu awapiganie kwenye kesi hii na ntaifuatlia mpaka mwisho wa hitimisho
niliwahi kuandika hapa thread ya watanzania mnaibiwa na mitandao msikimbilie hizi takataka
zinaitwa ati shindano ...shindano la....uhuni mtupu..kuna mtu aliipgiwa simu akaambiwa na tigo
atapewa kiasi kadhaa atangazwe mshindi tangu kesho ssina hamu na haya mashindano yao
soma tanzania daima pg 4
mteja kilema aiburuza mahakamani airtell
mteja wa kampuni ya simu za mkononi airtell bernad tobiasi ameiburuza kampuni ya airtell kwa kudai fidia ya million 60 kwa kumtangza mshindi wa promosheni ya kwanjuka sms.....lakini ikashindwa kumpatia million 50..
Tobiasi ambae ni mlemavu wa miguu na mikono anatetewa na kituo cha haki za binadamu wakili fulgence massawe kwenye kesi ya madai namba 12/2012 ambayo tayari imeshapangiwa hakimu
kwa mujibu w akesi hiyo tobiasi ambae ni mteja wa airtell mwenye namba 0686 163 144 tobiasi alianza kushiriki mashindano hayo tangu mei 2011 na mshindi alitakiwa kupewa million 50
wakili massawe amesema mteja wake alitangazwa kuwa mshindi mwaka jana kw akupigiwa na mfanyakazi mwenye namba 0784 100 778
wakili massawe anasema mteja wake alipanda gari kuja dar toka kijijini na alipofika kwenye ofisi za airtell aliambiwa yeye sio mshindi kabisa ..alipoanza kulalamika na kuanza kupiga simu kwa ndugu wa karibu alishangaa kuitwa na mmoja wa wafanyakazi na kuulizwa namba yake ..baada ya dk kadhaa akaja akamwambia yeye alijishindia million moja na sio million 50....akasema alipopigiwa aliambiwa million 50 na sio million 1..hata hivyo akasema wampatie million 1 akisubiri kueleweka kwa hiyo mil 49 iliobakia ambapo mpaka sasa hata miatano yaani sh 500 ajapewa na airtell
katika kituko kisichovumilika wakili masawe anasema kabla ya kufungua kesi hii niliwasiliana na airtell ambapo walikiri kumpigia simu mteja huyo kama mshindi na kuwauliza kwa nini wanakataa kumlipa hela zake...kampuni ya airtell ilidai ilishangaa walipompigia waliongea na thobias lakini walipopga baadae akapokea mwanamke ambae ni mkewe....hata hivyo wakili massawe amaesema amewapelekea vithibitisho kuonyesha tobias nimlemavu wa masikio lakini akuna juhudi zilizofanywa kumlipa haki zake..
Aidha alidai kwa kuwa kampuni hiyo ndio ilimpigia kama mshindi basi atawajibika kuhakikisha analipwa haki zake zote na hela yake million 50 pamoja na usumbufu wa million 10 jumla million 60..wakili massawe anaiomba mahakama iamuru mteja wake alipwe kiasi hicho na kutoa adhabu kali kama fundisho kwa makampuni yanayotumia bahati nasibu kudanganya watu kujipatia fedha zisizo halali kkwa kuwahadaa watu na kuwapiga picha huku awapewei pesa zao.....
Kwa niaba ya wana jf mh wakili f massawe tuko nyuma yako na naamini upumbavu huu autorudiwa tena na mitandao ya simu na watanzania muache ujinga wa kupenda vya dezo na makampuni nayo yako kibishara zaidi wanacheza dili mnaona watu wanakabidhiwa million kadhaa mnahisi kwako ni rahisi
mungu awapiganie kwenye kesi hii na ntaifuatlia mpaka mwisho wa hitimisho