Airtel Wagoma Kumlipa Mshindi

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,002
Shame shame shame on you airtell
niliwahi kuandika hapa thread ya watanzania mnaibiwa na mitandao msikimbilie hizi takataka
zinaitwa ati shindano ...shindano la....uhuni mtupu..kuna mtu aliipgiwa simu akaambiwa na tigo
atapewa kiasi kadhaa atangazwe mshindi tangu kesho ssina hamu na haya mashindano yao

soma tanzania daima pg 4
mteja kilema aiburuza mahakamani airtell
mteja wa kampuni ya simu za mkononi airtell bernad tobiasi ameiburuza kampuni ya airtell kwa kudai fidia ya million 60 kwa kumtangza mshindi wa promosheni ya kwanjuka sms.....lakini ikashindwa kumpatia million 50..

Tobiasi ambae ni mlemavu wa miguu na mikono anatetewa na kituo cha haki za binadamu wakili fulgence massawe kwenye kesi ya madai namba 12/2012 ambayo tayari imeshapangiwa hakimu

kwa mujibu w akesi hiyo tobiasi ambae ni mteja wa airtell mwenye namba 0686 163 144 tobiasi alianza kushiriki mashindano hayo tangu mei 2011 na mshindi alitakiwa kupewa million 50
wakili massawe amesema mteja wake alitangazwa kuwa mshindi mwaka jana kw akupigiwa na mfanyakazi mwenye namba 0784 100 778

wakili massawe anasema mteja wake alipanda gari kuja dar toka kijijini na alipofika kwenye ofisi za airtell aliambiwa yeye sio mshindi kabisa ..alipoanza kulalamika na kuanza kupiga simu kwa ndugu wa karibu alishangaa kuitwa na mmoja wa wafanyakazi na kuulizwa namba yake ..baada ya dk kadhaa akaja akamwambia yeye alijishindia million moja na sio million 50....akasema alipopigiwa aliambiwa million 50 na sio million 1..hata hivyo akasema wampatie million 1 akisubiri kueleweka kwa hiyo mil 49 iliobakia ambapo mpaka sasa hata miatano yaani sh 500 ajapewa na airtell

katika kituko kisichovumilika wakili masawe anasema kabla ya kufungua kesi hii niliwasiliana na airtell ambapo walikiri kumpigia simu mteja huyo kama mshindi na kuwauliza kwa nini wanakataa kumlipa hela zake...kampuni ya airtell ilidai ilishangaa walipompigia waliongea na thobias lakini walipopga baadae akapokea mwanamke ambae ni mkewe....hata hivyo wakili massawe amaesema amewapelekea vithibitisho kuonyesha tobias nimlemavu wa masikio lakini akuna juhudi zilizofanywa kumlipa haki zake..

Aidha alidai kwa kuwa kampuni hiyo ndio ilimpigia kama mshindi basi atawajibika kuhakikisha analipwa haki zake zote na hela yake million 50 pamoja na usumbufu wa million 10 jumla million 60..wakili massawe anaiomba mahakama iamuru mteja wake alipwe kiasi hicho na kutoa adhabu kali kama fundisho kwa makampuni yanayotumia bahati nasibu kudanganya watu kujipatia fedha zisizo halali kkwa kuwahadaa watu na kuwapiga picha huku awapewei pesa zao.....

Kwa niaba ya wana jf mh wakili f massawe tuko nyuma yako na naamini upumbavu huu autorudiwa tena na mitandao ya simu na watanzania muache ujinga wa kupenda vya dezo na makampuni nayo yako kibishara zaidi wanacheza dili mnaona watu wanakabidhiwa million kadhaa mnahisi kwako ni rahisi

mungu awapiganie kwenye kesi hii na ntaifuatlia mpaka mwisho wa hitimisho
 
siku za mwizi 39 ya 40 lazma akamatwe wamezid kuchezesha mamichezo.feki na hatuoni zawadi zenyewe,
 
....hata hivyo wakili massawe amaesema amewapelekea vithibitisho kuonyesha tobias nimlemavu wa masikio lakini akuna juhudi zilizofanywa kumlipa haki zake..
Ok, wakili Massawe, tunashukuru sana kuwatetea wanyonge, lakini ngoja kwanza.

Airtel wanasema walimwambia kashinda milioni moja, nyinyi mnasema jamaa alisikia milioni hamsini. Halafu unasema umethibitisha kwamba mteja ni mgonjwa wa masikio! Sasa how does that help your case?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Shame shame shame on you airtell
niliwahi kuandika hapa thread ya watanzania mnaibiwa na mitandao msikimbilie hizi takataka
zinaitwa ati shindano ...shindano la....uhuni mtupu..kuna mtu aliipgiwa simu akaambiwa na tigo
atapewa kiasi kadhaa atangazwe mshindi tangu kesho ssina hamu na haya mashindano yao

soma tanzania daima pg 4
mteja kilema aiburuza mahakamani airtell
mteja wa kampuni ya simu za mkononi airtell bernad tobiasi ameiburuza kampuni ya airtell kwa kudai fidia ya million 60 kwa kumtangza mshindi wa promosheni ya kwanjuka sms.....lakini ikashindwa kumpatia million 50..

Tobiasi ambae ni mlemavu wa miguu na mikono anatetewa na kituo cha haki za binadamu wakili fulgence massawe kwenye kesi ya madai namba 12/2012 ambayo tayari imeshapangiwa hakimu

kwa mujibu w akesi hiyo tobiasi ambae ni mteja wa airtell mwenye namba 0686 163 144 tobiasi alianza kushiriki mashindano hayo tangu mei 2011 na mshindi alitakiwa kupewa million 50
wakili massawe amesema mteja wake alitangazwa kuwa mshindi mwaka jana kw akupigiwa na mfanyakazi mwenye namba 0784 100 778

wakili massawe anasema mteja wake alipanda gari kuja dar toka kijijini na alipofika kwenye ofisi za airtell aliambiwa yeye sio mshindi kabisa ..alipoanza kulalamika na kuanza kupiga simu kwa ndugu wa karibu alishangaa kuitwa na mmoja wa wafanyakazi na kuulizwa namba yake ..baada ya dk kadhaa akaja akamwambia yeye alijishindia million moja na sio million 50....akasema alipopigiwa aliambiwa million 50 na sio million 1..hata hivyo akasema wampatie million 1 akisubiri kueleweka kwa hiyo mil 49 iliobakia ambapo mpaka sasa hata miatano yaani sh 500 ajapewa na airtell

katika kituko kisichovumilika wakili masawe anasema kabla ya kufungua kesi hii niliwasiliana na airtell ambapo walikiri kumpigia simu mteja huyo kama mshindi na kuwauliza kwa nini wanakataa kumlipa hela zake...kampuni ya airtell ilidai ilishangaa walipompigia waliongea na thobias lakini walipopga baadae akapokea mwanamke ambae ni mkewe....hata hivyo wakili massawe amaesema amewapelekea vithibitisho kuonyesha tobias nimlemavu wa masikio lakini akuna juhudi zilizofanywa kumlipa haki zake..

Aidha alidai kwa kuwa kampuni hiyo ndio ilimpigia kama mshindi basi atawajibika kuhakikisha analipwa haki zake zote na hela yake million 50 pamoja na usumbufu wa million 10 jumla million 60..wakili massawe anaiomba mahakama iamuru mteja wake alipwe kiasi hicho na kutoa adhabu kali kama fundisho kwa makampuni yanayotumia bahati nasibu kudanganya watu kujipatia fedha zisizo halali kkwa kuwahadaa watu na kuwapiga picha huku awapewei pesa zao.....

Kwa niaba ya wana jf mh wakili f massawe tuko nyuma yako na naamini upumbavu huu autorudiwa tena na mitandao ya simu na watanzania muache ujinga wa kupenda vya dezo na makampuni nayo yako kibishara zaidi wanacheza dili mnaona watu wanakabidhiwa million kadhaa mnahisi kwako ni rahisi

mungu awapiganie kwenye kesi hii na ntaifuatlia mpaka mwisho wa hitimisho

Ok, wakili Massawe, tunashukuru sana kuwatetea wanyonge, lakini ngoja kwanza.

Airtel wanasema walimwambia kashinda milioni moja, nyinyi mnasema jamaa alisikia milioni hamsini. Halafu unasema umethibitisha kwamba mteja ni mgonjwa wa masikio! Sasa how does that help your case?


Wakili Massawe inabidi ujipange kwa mteja wako kuweza kushinda hii kesi.
 
Kazi rahisi, ataomba mahakama itoe amri ya kuleta yale mazungumzo kwa simu, nadhani huwa yanakuwa kwenye record kwa muda kama yapo ni ushahidi tosha.
 
Ok, wakili Massawe, tunashukuru sana kuwatetea wanyonge, lakini ngoja kwanza.

Airtel wanasema walimwambia kashinda milioni moja, nyinyi mnasema jamaa alisikia milioni hamsini. Halafu unasema umethibitisha kwamba mteja ni mgonjwa wa masikio! Sasa how does that help your case?
Kwa jinsi ilivyoandikwa habari hii inaoneka kama kuna kitu kinakosekana hivi! Mteja anasema aliambiwa/alisikia sh 50m halafu wanasema ni mlemavu wa kusikia!...sasa hili la ulemavu wa kusikia sioni ni vipi linaweza kumsaidia mlalamikaji katika kesi hii.

Naamini mashindano haya yanakuwa na record hivyo kujua ni namba ipi ilishinda na ilishinda kiasi gani pengine sio kazi ngumu sana.
 
Alaah! hivi kumbe kwenye haya makampuni ya simu kuna bahati nasibu? Mimi nina line ya Airtel kwa ajili ya modem yangu na si vinginevyo na hata zile bonus za muda wa maongezi ninazopewaga sijawahi kuzitumia hata siku moja, mimi shida yangu ni Internet tu basi. hizo promo nyingine nyinyi endeleeni nazo tu kwa muda wenu, mimi sihitaji usanii on my way.
 
Wapumbaf sana hawa pale Airport maeneo yote ya Cargo tunapa EDGE mpaka nimeamua kuhamia Sasatel, ukipiga simu, hatua kumi kuna bango kubwa kama mlima Hamia Airtel! Uzuir kwa mkakasi ndani kipande cha mti!
 
nimecheck na jamaa yangu wa Airtel zawadi za Kwanjuka zilikua kama ifuatavyo,

Daily winner of TZS 1,000,000/=
Weekly Winner of TZS 5,000,000/=
Final Grand Prizes will be TZS 20,000,000/=

sasa hiyo 50mil,kwenye list aliyonitumia siioni.Pengine nafikiri kuna tatizo somewhere,so far hizi promotion nadhani hazina longolongo,kwani walikua wakitoa list ya washindi na pia muwakilishi wa bodi ya bahati nasibu ya taifa yupo, na pia nafikiri huwa anapata copy ya washindi husika.pia tunaweza kucheck huko.Vinginevyo pia makampuni shindani yanaweza tia mkono kuandika hiyo habari.

Nakumbuka Vodacom waliwahi kupata kashfa mwaka fulani walikua na promotion mbili mwaka huo.Kulikua na promotion ya Voda millionaire ,halafu ikafuata ya Motorola kama sikosei.sasa wakati wa promotion ya motorola Afisa anaeandaa Data base hakuwepo ili bidi aandae mwingine.Kituko kilitokea huyu Afisa akachezesha bahati nasibu kwa kutumia database ya vodaMillionaire,badala ya Motorola .wateja walipopigiwa simu kuuliza kama walishiriki hiyo promotion wakagoma.Ndipo Afisa muhusika aliporudi na kugundua jamaa alitumia wrong data base.
Bodi ya michezo ilishauri ibaki hivyo mpaka siku za kudeclare mshindi zinapokwisha kisheria ndio irudiwe upya.basi waliporudia wakawa wamerekebisha kosa hilo.
sasa la huyu bwana tunahitaji taarifa sahihi, ili tuweze check na wahusika tujiridhishe kama haya madai ni ya kweli,kuliko mtoa mada alivyogeneralise,Lakini nafikiri kuna tatizo la huyu mshindi,kutokuelewa alichoshinda.
Ni kwa mtizamo na uelewa wangu tu.
 
kuna mtu nilimshangaa alipigishwa mipicha na Western Union kuwa kashinda 5m kumbe wamemshikisha 1.5m...wacha liwe zogo na mkewe....ndugu na jamaa pia wapambe baada ya kusoma magazeti na kuona kive ktk TV
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom