mbona ndugu zako wote wanatumia tigo?wewe huna tofauti na yule anaye oshea gari bia.nia yako ni kuwazalilisha watanzania wacha Mungu wanaotumia tigo.ninachojua kuchagua mtandao inategemeana na matumizi.% kubwa ya wenye simu wana line ya tigo kama siyo kwenye simu basi ipo mfukoni.fanya utafiti tena.Ni ya muda mrefu ndio maana kwa upande wangu naona nimekuja na majibu sahihi:
Utafiti wa kina umeonyesha kuwa,watu wanao tumia line ya
VODA
-Ni watu wenye staha,heshima na vyeo.
AIRTEL
-Ni wafanya biashara ,wafanyakazi wa makampuni makubwa, viongozi na matajiri wenye pesa za kutosha.
ZANTEL
-Ni watu wa visiwani,mashekhe,mayakhe,mamwinyi na maustaadhi.
TIGO
-Ni wanafunzi,mahousegirl,mashamba boy,madalali, wasio na kazi maalumu,na watu wa mizinga na wengi wao afya zao ni migogoro.
Je wana JF mpo wapi kati ya hiyo mitandao hapo juu?
Duuh!sasa mimi wa sasatel?
TTCL nayo tutaifanyia utafiti wa kina,kujuwa ukweli,ila kuna wadau wapo humu wanaweza kutujuza zaidi.Sasa na sisi wa SASATEL, TTCL Mobile unatuweka wapi.
Ila hiyo ya TIGO imenifurahisha sana. Kweli huo ndio mtandao unaotakiwa Tanzania.
Utahamaje wakati wewe ni mwanafunzi uliyemaliza shule mwaka juzi,ukapata ushamba boy na baada ya kumwibia mwajili wako vilita vya maziwa ukaacha na ukaanza udalali, baada ya hapo hukuwa na kazi maalumu ukaanza mizinga huku afya yako ikiongeza migogoro kila kukicha..... teh....teh................... JOKINGmimi niko TIGO na wala sina mpango wa kuhama hata useme nini.
ttcl YA WAZEE VIJANASasa na sisi wa SASATEL, TTCL Mobile unatuweka wapi.
Ila hiyo ya TIGO imenifurahisha sana. Kweli huo ndio mtandao unaotakiwa Tanzania.
Utahamaje wakati wewe ni mwanafunzi uliyemaliza shule mwaka juzi,ukapata ushamba boy na baada ya kumwibia mwajili wako vilita vya maziwa ukaacha na ukaanza udalali, baada ya hapo hukuwa na kazi maalumu ukaanza mizinga huku afya yako ikiongeza migogoro kila kukicha..... teh....teh................... JOKING
nyie wa sasatel mko katika group la huduma ya tigo fasta. Sasatel maana yake sasa hivi. Ha haduuh!sasa mimi wa sasatel?
mi natumia...... Symbion......[/QUOTE] ahahaha eti symbion"[QUOTEJe wana JF mpo wapi kati ya hiyo mitandao hapo juu?
Utahamaje wakati wewe ni mwanafunzi uliyemaliza shule mwaka juzi,ukapata ushamba boy na baada ya kumwibia mwajili wako vilita vya maziwa ukaacha na ukaanza udalali, baada ya hapo hukuwa na kazi maalumu ukaanza mizinga huku afya yako ikiongeza migogoro kila kukicha..... teh....teh................... JOKING
sio mtanzania rudi kwenu uganda.Na cc wa safarcom 2ko kundi gan?