Airtel,tigo zantel na voda

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
645
Utafiti wa kina umeonyesha kuwa,watu wanao tumia line ya

VODA
-Ni watu wenye staha,heshima na vyeo.

AIRTEL
-Ni wafanya biashara ,wafanyakazi wa makampuni makubwa, viongozi na matajiri wenye pesa za kutosha.

ZANTEL
-Ni watu wa visiwani,mashekhe,mayakhe,mamwinyi na maustaadhi.

TIGO
-Ni wanafunzi,mahousegirl,mashamba boy,madalali, wasio na kazi maalumu,na watu wa mizinga na wengi wao afya zao ni migogoro.

Je wana JF mpo wapi kati ya hiyo mitandao hapo juu?
 
Ninayo simu ya line nne, mitandao yote ninaifaidi, shamba boy na madenti waliipenda tigo those days longalonga bure saa 6 usiku, bt now tigo wezi tu maneno celtel na voda,
 
Ninayo simu ya line nne, mitandao yote ninaifaidi, shamba boy na madenti waliipenda tigo those days longalonga bure saa 6 usiku, bt now tigo wezi tu maneno celtel na voda,
Hiyo simu line 4 lazima itakuwa ya kichina,teheee theheeeee
Kwa sasa mitandao karibia yote ni wezi tuuuuuuu kila kukicha wanakuja na mbinu mpya ya kuiba...
 
[QUOTEJe wana JF mpo wapi kati ya hiyo mitandao hapo juu? [/QUOTE]


mi natumia...... Symbion......
 
du hii kali, lakini sulpha, hii research ya siku ngapi?
Utafiti wa kina umeonyesha kuwa,watu wanao tumia line ya

VODA
-Ni watu wenye staha,heshima na vyeo.

AIRTEL
-Ni wafanya biashara ,wafanyakazi wa makampuni makubwa, viongozi na matajiri wenye pesa za kutosha.

ZANTEL
-Ni watu wa visiwani,mashekhe,mayakhe,mamwinyi na maustaadhi.

TIGO
-Ni wanafunzi,mahousegirl,mashamba boy,madalali, wasio na kazi maalumu,na watu wa mizinga na wengi wao afya zao ni migogoro.

Je wana JF mpo wapi kati ya hiyo mitandao hapo juu?
 
Back
Top Bottom