Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Sifanyi kazi airtel wala sina mpango wa kufanya kazi airtel, na kama ana vitu analalamika airtel anaitajika kwenda airtel kuwaambia sio Jamii forums, maana akija huku ndio majibu kama haya tunampatia.
Toka mwanzo mpaka sasa unaongea pumba tu, samahani lakini ndo ukweli huo.