Airtel na wizi wa wazi wa ofaya ya internent bure miezi 6 kwenye moderm zao. Usijaribu

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!
 
Nami leo yamenikuta! Nimeweka salio la sh. 1000/- katika modem ya airtel na kununua 50mb kwa shs. 500/- kwa siku moja. Baada ya kuangalia mada mbili katika jukwaa la siasa humu JF, mawasiliano ya mtandao yakawa yamekatika. Nilipoangalia salio, naelezwa zimebakia shs.61 tu! Kwa mtindo huo nimeliwa zile shs.500/- za 50mb ambazo nina uhakika sikuzimaliza, na pia shs.439/- ambazo zilisalia! Kama wateja milioni moja wanafanyiwa hivi kwa siku, je kwa mwaka tunaibiwa kiasi gani? Hawa ndio tunawahusudu kwenye majukwaa kuwa ni WAWEKEZAJI!
 
Hamjaibiwa hata kidogo! Ushamba wenu tu, is 6 months but kuna limit ya matumizi kwa mwezi, pengine umetumia miezi 6 package in 1 day!

This is business, wanapoandika masharti na taratibu kwa herufi ndogo mnayatafuta hayo masharti Au mnaangalia tu offer zilizoandikwa kwa herufi kubwa Basi?

Acheni ulalamishi! Huwezi pata offer ya unlimited internet for six months, this is never possible! Please be careful, na muwe na mawazo ya biashara.


QUOTE=lara 1;4377691]Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!![/QUOTE]
 
Umeongea ukweli kwamba huduma inayotangazwa na Airtel ipo ki tricky zaidi kuwavutia watanzania wenye tamaa. Jamaa hawasomi terms and conditions za huduma zenyewe.......wanaishia kukimbilia kununua tu.Poleni sana, hamieni SasaTel........Tshs 7500 kwa week unafanya mambo yako mengi sana!
Hamjaibiwa hata kidogo! Ushamba wenu tu, is 6 months but kuna limit ya matumizi kwa mwezi, pengine umetumia miezi 6 package in 1 day!

This is business, wanapoandika masharti na taratibu kwa herufi ndogo mnayatafuta hayo masharti Au mnaangalia tu offer zilizoandikwa kwa herufi kubwa Basi?

Acheni ulalamishi! Huwezi pata offer ya unlimited internet for six months, this is never possible! Please be careful, na muwe na mawazo ya biashara.


QUOTE=lara 1;4377691]Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!
[/QUOTE]
 
Airtel hawajaanza leo kuiba kitapeli nimeshawazoea na ole wao niwapatie jins ya kuwachakachua na hawa tigo mtakoma!
 
Hamjaibiwa hata kidogo! Ushamba wenu tu, is 6 months but kuna limit ya matumizi kwa mwezi, pengine umetumia miezi 6 package in 1 day!

This is business, wanapoandika masharti na taratibu kwa herufi ndogo mnayatafuta hayo masharti Au mnaangalia tu offer zilizoandikwa kwa herufi kubwa Basi?

Acheni ulalamishi! Huwezi pata offer ya unlimited internet for six months, this is never possible! Please be careful, na muwe na mawazo ya biashara.


QUOTE=lara 1;4377691]Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!
[/QUOTE]

wewe airtel huwajui, package gani ya mwezi ambayo inaisha kwa kuperuzi facebook na blog kwa wiki????!!!!!! Alafu bado ni mijizi kwanini waseme miezi sita bure? ndo utapeli wenyewe huo, kwanini wasiseme kuna mb 10 bure! Kampuni za simu bongo vitengo vyao vya marketing havina ubunifu zaidi ya KUTAPELI WATEJA.
 
airtel hawajaanza leo kuiba kitapeli nimeshawazoea na ole wao niwapatie jins ya kuwachakachua na hawa tigo mtakoma!

jinsi ipo tena wafanyizie nitafute binafsi nikupe ujanja
 
Hamjaibiwa hata kidogo! Ushamba wenu tu, is 6 months but kuna limit ya matumizi kwa mwezi, pengine umetumia miezi 6 package in 1 day!

This is business, wanapoandika masharti na taratibu kwa herufi ndogo mnayatafuta hayo masharti Au mnaangalia tu offer zilizoandikwa kwa herufi kubwa Basi?

Acheni ulalamishi! Huwezi pata offer ya unlimited internet for six months, this is never possible! Please be careful, na muwe na mawazo ya biashara.


Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!

Afadhali hata kama wangeweka small print.

Mie ilibidi mpaka niulize CS Rep wao pale Mlimani City kwa sababu nina uzoefu na deceptive ads, nika confirm suspicions zangu kwamba ile offer ya Internet FB na Twitter free inahusika kuanzia midnight mpaka saa 12 asubuhi tu.

Lakini hawakuweka hata small print kuonyesha hilo. Nikauliza kwa nini? Wakajiumauma bila aibi eti "Ni biashara tu"

Biashara ya kudanganya watu?

Hivi hawa wanasheria wetu wote wako wapi?
 
Hamjaibiwa hata kidogo! Ushamba wenu tu, is 6 months but kuna limit ya matumizi kwa mwezi, pengine umetumia miezi 6 package in 1 day!

This is business, wanapoandika masharti na taratibu kwa herufi ndogo mnayatafuta hayo masharti Au mnaangalia tu offer zilizoandikwa kwa herufi kubwa Basi?

Acheni ulalamishi! Huwezi pata offer ya unlimited internet for six months, this is never possible! Please be careful, na muwe na mawazo ya biashara.


QUOTE=lara 1;4377691]Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!
[/QUOTE]


kama wewe ni mfanyakazi wa hiyo kampuni husika umekosea kumjibu mteja wako hivyo ni vizuri kumuelewesha kuliko kumzodoa eti ni mshamba sio haki hata kidogo, maelezo yako mazuri sana ila customer services ya kumsikiliza mteja mkuu hapo bado. ni hayo tu.
 
Sifanyi kazi airtel wala sina mpango wa kufanya kazi airtel, na kama ana vitu analalamika airtel anaitajika kwenda airtel kuwaambia sio Jamii forums, maana akija huku ndio majibu kama haya tunampatia.
 
Still HAMTAKI elewa, What iF you laptop/Desktop has automatic UPDATES on? I have mine, and when it updates it can even update 435MB a day, antivirus and other issues, sasa hata kama upo facebook, we wategemea nini? ni Miezi sita bure, but they clearly say the maximum you can spend in a day, HAKUNA WIZI HAPA, we just dont want to make our brain cells move.:eek2:
 
Ukiacha hili la automatic updates, hii huduma ya airtel bado imekaa kiwizi wizi tu!

Still HAMTAKI elewa, What iF you laptop/Desktop has automatic UPDATES on? I have mine, and when it updates it can even update 435MB a day, antivirus and other issues, sasa hata kama upo facebook, we wategemea nini? ni Miezi sita bure, but they clearly say the maximum you can spend in a day, HAKUNA WIZI HAPA, we just dont want to make our brain cells move.:eek2:
 
Nilikuwa napanga jumatatu nikanunue hizi moderm za airtel,lakini kwa hali hii! Naombeni ushauri,ni moderm gani nzuri kwa sasa?
 
hahahahaha mimi nawachakachua Airtel since March tena kuna Engineer anafanya kazi pale Airtel alinifanyia maujuz kwenye modem yangu nakula net buuuuure polen watanzania wenzangu mnaoibiwa!
 
Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!

Na ni wadhamini wa JF...majambazi tu hawa...mimi mwenyewe nna modem ya mdogo wangu hapa ina 2 months tu,imegoma kufanya
 
Hamjaibiwa hata kidogo! Ushamba wenu tu, is 6 months but kuna limit ya matumizi kwa mwezi, pengine umetumia miezi 6 package in 1 day!

This is business, wanapoandika masharti na taratibu kwa herufi ndogo mnayatafuta hayo masharti Au mnaangalia tu offer zilizoandikwa kwa herufi kubwa Basi?

Acheni ulalamishi! Huwezi pata offer ya unlimited internet for six months, this is never possible! Please be careful, na muwe na mawazo ya biashara.


QUOTE=lara 1;4377691]Niliona tangazo la hii ofa yao ya uongo, sikukurupuka, nikauliza zaidi na zaidi kwa wakala wao, akanihakikishia ni kweli na kujiapiza, si ndo nikanunua nimetumia wiki tu tena kusoma email na kuperuzi sites eti wananiletea ujumbe niongeze pesa! jamani watanzania mbona tunaonewa live live na kuibiwa hadharani? Mamlaka ya mawasiliano mpo? Yaani wamenikera mpaka basi, wizi wa mchana kabisa huu, tena utapeli wao wanautangaza hadi kwenye tv!!!!
[/QUOTE]

Si lazima ujifanye una akili kuliko watu wengine kila siku ili ujisikie vizuri mkuu..nataka uangalie tangazo la hii modem hapo juu kwenye wall ya jf alafu uniambie ni wapi wameandika kuwa masharti na vigezo vitazingatiwa..kwa inavyoonekana,mtu anaweza kuipeleka mahakamani kabisa na kuclaim damages
 
Back
Top Bottom