neo1
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 576
- 840
Habari zenu wanajamvi??
Kama mmesikia kuwa TTCL imerudisha hisa zake za 35% toka celtel au Airtel Tanzania.
Okey me naomba kuelezwa nan alikuwa hisa kwa mwingine...
Wataalam wa mambo wanasema izo hisa zilizokuwa kwa Airtel ulikuwa ni ubia ambao kwa ajili ya TTCL kuwa ndani ya Airtel na wameenda mbali zaid kusema sasa serikali haina umiliki wa hisa hata 1 ndani ya kampuni kubwa kama Airtel
Ila kwa upande mwingine wanasema hizo ni hisa za Airtel ambazo zilikuwa ndani ya TTCL na zilikuwa zinawanyima TTCL uwezo wa kuingia kwenunye soko la GSM Sababu anaonekana tayari anafanya biashara ya GSM kwenye Airtel... Hivyo ina mnyima haki ya kuanzisha na kuendeleza GSM
Maswali nan alikuwa anapata gawio kutoka kwa mwenzake??... Je Airtel walikuwa wanalipa gawio kwa TTCL??
Je airtel walikuwa wanachangia iyo asilimia 35 ya maboresho ya TTCL.
Je TTCL ilikuwa kwenye bodi Ya maamuz kwenye Airtel.
Mimi sifaham kilichotokea, wajuvi tueleweshane
Kama mmesikia kuwa TTCL imerudisha hisa zake za 35% toka celtel au Airtel Tanzania.
Okey me naomba kuelezwa nan alikuwa hisa kwa mwingine...
Wataalam wa mambo wanasema izo hisa zilizokuwa kwa Airtel ulikuwa ni ubia ambao kwa ajili ya TTCL kuwa ndani ya Airtel na wameenda mbali zaid kusema sasa serikali haina umiliki wa hisa hata 1 ndani ya kampuni kubwa kama Airtel
Ila kwa upande mwingine wanasema hizo ni hisa za Airtel ambazo zilikuwa ndani ya TTCL na zilikuwa zinawanyima TTCL uwezo wa kuingia kwenunye soko la GSM Sababu anaonekana tayari anafanya biashara ya GSM kwenye Airtel... Hivyo ina mnyima haki ya kuanzisha na kuendeleza GSM
Maswali nan alikuwa anapata gawio kutoka kwa mwenzake??... Je Airtel walikuwa wanalipa gawio kwa TTCL??
Je airtel walikuwa wanachangia iyo asilimia 35 ya maboresho ya TTCL.
Je TTCL ilikuwa kwenye bodi Ya maamuz kwenye Airtel.
Mimi sifaham kilichotokea, wajuvi tueleweshane