johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,576
- 141,379
Hivi punde nimepokea Gawio kutoka Airtel money.
Ndio nimekumbuka kwamba huu mtandao pendwa hutoa gawio kwa serikali kila mwaka
Je, tutegemee kuyaona mashirika yote ya Umma yakitoa gawio kwa serikali yakiwemo Ttcl, Atcl, Muhimbili nk....nk?
Ndio nimekumbuka kwamba huu mtandao pendwa hutoa gawio kwa serikali kila mwaka
Je, tutegemee kuyaona mashirika yote ya Umma yakitoa gawio kwa serikali yakiwemo Ttcl, Atcl, Muhimbili nk....nk?