Rwekaza Autonomy
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 327
- 106
Mimi sa iv n ck ya Tatu nmelipia kingamuz kutumia Voda bt mpaka sa iv hela imepotea wanadai ipo hewan
Mkuu hakuna mwenye unafuu wote wezi tu hao tigo mwezi huu wa saba wamewaliza wateja wa continental mpaka leo hawajarudisha hela zetu. .
Huu mchezo upo hata tigopesa nililipia king'amuzi cha continentalHi,
Sio mara moja, ni zaidi ya mara mbili ndani ya mwezi mmoja airtel imekua ikiniweka roho juu. Nishawahi kulipia bundle la king'amuzi cha Azam kwa airtel money, ilichukua 5 days kuunganishwa na Azam. Kwa madai wao Azam hawawezi kuniunganisha mpaka wapate malipo kutoka Airtel Money. Kwa siku tano sikuweza kuangalia taarifa za habari, mpira movies n.k
Leo tena natuma pesa kwenda Vodacom (M pesa) ni shida. Aliyetumiwa hajapata, nishapiga simu kibao huduma kwa wateja, eti wananiambia pesa imerudishwa kwenye account yako wakati huku napata zero tu.
Ninachoumia zaidi kuna wahudumu wengine hawanipi matumaini ya kupata huduma kwa wakati. Sasa sielewi huu mtandao sasa ndo umeshindwa kabisa katika huduma za pesa au ni nini?
Nyie wakuu nanyi mwakutana na kero hizi......?
Asante mkuuMkuu, pole sana! Nafikiri labda huna bahati nao. Mimi huwa wananielewa sana mpaka wananitafuta wenyewe!
Nmeongea nao mpaka nmechokDuuh! Haya sasa, aina hii ya majibu kwa wahudumu, yanaleta matumaini kweli?
Halotel mda si mrefu wataipindua AirtelHi,
Sio mara moja, ni zaidi ya mara mbili ndani ya mwezi mmoja airtel imekua ikiniweka roho juu. Nishawahi kulipia bundle la king'amuzi cha Azam kwa airtel money, ilichukua 5 days kuunganishwa na Azam. Kwa madai wao Azam hawawezi kuniunganisha mpaka wapate malipo kutoka Airtel Money. Kwa siku tano sikuweza kuangalia taarifa za habari, mpira movies n.k
Leo tena natuma pesa kwenda Vodacom (M pesa) ni shida. Aliyetumiwa hajapata, nishapiga simu kibao huduma kwa wateja, eti wananiambia pesa imerudishwa kwenye account yako wakati huku napata zero tu.
Ninachoumia zaidi kuna wahudumu wengine hawanipi matumaini ya kupata huduma kwa wakati. Sasa sielewi huu mtandao sasa ndo umeshindwa kabisa katika huduma za pesa au ni nini?
Nyie wakuu nanyi mwakutana na kero hizi......?