Hizo modem zinapatikana wapi? maana naitafuta sana sizioni.....Kama unaona inakuzigua please naomba nikubadilishie nikupe ya voda iliyochakachuliwa................Hiyo modem nilikuwa naitumia kwenye sms application maana ndiyo pekee configuration zake kwenye kannel nilikuwa nazijua...Please kama utaona inafaa fanya kuni-pm then mimi nikupe iliyochakachuliwa....Kuhusu kuchakachua its possible as long as ina IMEI