jupiter001
Member
- May 25, 2023
- 44
- 72
Airtel mna call drops kubwa sana , ndio maana hata ukipiga simu Mbeya kwa watumiaji wa Airtel hatusikiani .
Hii Report ipo kwenye site za TCRA na iko wazi msiseme tunawasagia kunguni.
Mmezidiwa hadi na TTCL kweli?
Hii Report ipo kwenye site za TCRA na iko wazi msiseme tunawasagia kunguni.
Mmezidiwa hadi na TTCL kweli?