BABA E's
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 354
- 136
Yaani mnajiongezea gharama za bundle mtadhani mnatumia wenyewe hizo simu!!, kuweni na aibu na mtuheshimu wateja wenu!!, sababu bila sisi hiyo Airtel itabaki minara tu!!.
Hawezekani bei mnazidisha mara mbili kimya kimya bila kushirikisha wateja wenu!! Mafisadi nyie!
Hawezekani bei mnazidisha mara mbili kimya kimya bila kushirikisha wateja wenu!! Mafisadi nyie!