Airtel internet 20 mb boom club

Chief-Mkwawa

Platinum Member
May 25, 2011
30,688
39,752
Kuna huduma airtel wameanzisha ya boom club unanunu na kusajili line 2 za airtel kwa gharama ya 1000.

Sipo hapa kuwatangazia biashara ukitaka habari waulize mawakala wao. Ila ipo hivi kwa wale ambao matumizi yao ni light kama vile watumiaji wa simu wasiodownload sana baada ya kujiunga na internet ya siku ya sh 500 unaweza kununua hizi line utapata mb 10 kwa kila line yaani mb 20.

Sijaprove kama ni offer ya lifetime ila mimi nimenunua 2 weeks now na kila siku napata hizo mb buree.
 
Tunaomba utueleze kinagaubaga coz kunaile boom club ya kuongea je nayo iko sambamba na hiyo ya internet 20mb.
 
Tunaomba utueleze kinagaubaga coz kunaile boom club ya kuongea je nayo iko sambamba na hiyo ya internet 20mb.

Yap exactly hio ya kuongea ndo wapata hizo mb20 but hizo mb si lazma ujiunge kuongea hata kama hujajiunga wasurf mpaka ziishe
 
mimi pia nilinunua two weeks ago. Tangu nimeanza kutumia naona na surf bure hata bila kuweka credit, nilitaka kuuliza, thanx umenipa majibu bwana mkwawa
 
Airtel Bana! Tunatisha, kingine na cha kwanza kutokea Tanzania. Haijawatokea hiyo
 
wizi mtupu.haiwezekani waakatoa upendeleo kwa line mpya tu afu wengine sie wenye line za zamani wakatuacha.mfano mie line yangu ina miaka10 (kama si miaka 11)

....pia juzi nilijiunga na ile huduma ya mb400 kwa mwezi eti jana wananitumia msg kwamba nimetumia mb 20 na sasa unaweza kujiunga tena na kila mb1 utatozwa sh 40

na nikiuliza saliodata naambiwa umetumia mb400 kati ya mb400.
 
Chief hiyo ya kuongea inakuaje? unajiungaje? Msaada tafadhali

Mods watansamehe sifanyi advertisement nakuelewesha wewe

Boom club ni huduma airtel wameanzisha inayokuwezesha wewe mteja kuongea na umpendae wiki nzima masaa 24 kwa sh 500.
Wana line zao wanauza zinakua 2 kwa mpigo so unanunu let say moja unampa demu wako.

Ukijiunga na hio boom club utampigia demu wako bure sku 7, lakini sisi tunahitaji internet so ukiwa na line ya boom club unapewa 10 mb irrespective umejiunga na ofa ya kuongea au hujajiunga
 
Mods watansamehe sifanyi advertisement nakuelewesha wewe

Boom club ni huduma airtel wameanzisha inayokuwezesha wewe mteja kuongea na umpendae wiki nzima masaa 24 kwa sh 500.
Wana line zao wanauza zinakua 2 kwa mpigo so unanunu let say moja unampa demu wako.

Ukijiunga na hio boom club utampigia demu wako bure sku 7, lakini sisi tunahitaji internet so ukiwa na line ya boom club unapewa 10 mb irrespective umejiunga na ofa ya kuongea au hujajiunga

okay Chief.na hizo line za namna hiyo zinapatikana wapi?yoyote mpya nitakayonunua mtaani itakuwa imeunganishwa au mpaka kuna sehemu maalum ya kuzipata hizo line?
 
okay Chief.na hizo line za namna hiyo zinapatikana wapi?yoyote mpya nitakayonunua mtaani itakuwa imeunganishwa au mpaka kuna sehemu maalum ya kuzipata hizo line?

Line mara nyingi wanazo mawakala maana ukinunua hapo hapo wanakusajilia, au nenda hata ofisi zao za karibu
 
Back
Top Bottom