Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
Mbwembwe za Airtel ni uzuri wa mkakasi kumbe ndani kipande cha mti. Matangazo kibao, mara mpitishe mibasi myekundu ns kuwashawishi watu wahamie kwenu. Upompo mtupu.
Mnahangaikia nini kumbe ni wezi wa kubwa wa Jirushe yenu ya tsh 1900 kwa masaa manne kwa mchana mmoja. Kwa akili yenu mnafikiri ni nani mjinga wa kuongae masaa manne kwa kila siku. Upompo mtupu.
Angalieni mtandao makini wa wenye kufikiri vizuri wa Vodacom a.k.a Kazi n kwako walivoigawa Chekatime yao. Iko mpaka ya tsh 150. Kudadaki, hawa ndo wanaume bwana,Maneno kidogo matendo kibao.
Kama huamini wee bonyeza *149*01# kwenye Vodacom ujionee wanaume wanaojua kujipanga. Wee baki na makelele ya hamia huku nanilii na huku wenzako wanakwambia Kazi n kwako.
Mnahangaikia nini kumbe ni wezi wa kubwa wa Jirushe yenu ya tsh 1900 kwa masaa manne kwa mchana mmoja. Kwa akili yenu mnafikiri ni nani mjinga wa kuongae masaa manne kwa kila siku. Upompo mtupu.
Angalieni mtandao makini wa wenye kufikiri vizuri wa Vodacom a.k.a Kazi n kwako walivoigawa Chekatime yao. Iko mpaka ya tsh 150. Kudadaki, hawa ndo wanaume bwana,Maneno kidogo matendo kibao.
Kama huamini wee bonyeza *149*01# kwenye Vodacom ujionee wanaume wanaojua kujipanga. Wee baki na makelele ya hamia huku nanilii na huku wenzako wanakwambia Kazi n kwako.