Kuanzisha project ya 3.75G si mchezo,mie nilijua tangu mwanzo kwamba wanawaibia wadanganyika,3.75G ni technology na sio VAS ambao kujiunga unabonyeza code flan,tcra mpo wapi? Wamesoma halama za nyakati wangesema 4G mngestuka! Kwanza hawana lisence ya kurusha 3.75G.