Habari za kazi wapendwa!
Mimi nina maswali mawili
Endapo mtu ameomba nafasi hizo hapo juu mbili na ameitwa zote mbili na Sekretariat ya Ajira je kuna uwezo wa Mtu huyu kuomba afanye zote mbili??Maana ziko pamoja na siku ni moja na muda ni mmoja???Anaweza kubaliwa kufanya zote...
Lakini Je Maswali yake yakoje kwa waliowahi kufanya Nafasi hizi?
Mimi nina maswali mawili
Endapo mtu ameomba nafasi hizo hapo juu mbili na ameitwa zote mbili na Sekretariat ya Ajira je kuna uwezo wa Mtu huyu kuomba afanye zote mbili??Maana ziko pamoja na siku ni moja na muda ni mmoja???Anaweza kubaliwa kufanya zote...
Lakini Je Maswali yake yakoje kwa waliowahi kufanya Nafasi hizi?