Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Hawa watoto sijui wamewachukua wapi..
Wengine rangi ya kunde, wengine weusi, wengine warefu , wengine wafupi..
Sijui ni ile rangi ya uniform, blue na njano katikati ya mkato wa miguu nyuma.
Nilikaaa na mzungu mmoja basi anawakodolea macho safari nzima..
Ukweli hawa warembo wamefanya niiipendi air tanzania.
1. Wanalugha nzuri
2. Wana smile vizuri utadhani hawaja wahi kuwa na matatiZo.
3. Wanaongea kingereza na kiswahili vizuri.
4. Wale wanaosuka twende kilioni hao ndio wameua.. yaani mnaifanya Tanzania kuwa ya kipekee.. Sijawahi kudhani kusuka kunawafanya wasichana kuoendeza kiasi kile.. Big up wanao wasuka.
Anaye wavalisha hawa wafanyakazi na kuwaelekeza nampa big up.
Jambo moja ambalo naomba walifanye .. wawe na kucha fupi, wakate kucha..
Wengine makucha marefu hadi tunaogopa.
Wengine wameweka makucha ya bandia.
Jamani mle ndani mnahudumia hata watoto ..
Big up air hostess wote kwa kazi nzuri.. nimeipenda huduma yenu kwa air Tanzania.
Wengine rangi ya kunde, wengine weusi, wengine warefu , wengine wafupi..
Sijui ni ile rangi ya uniform, blue na njano katikati ya mkato wa miguu nyuma.
Nilikaaa na mzungu mmoja basi anawakodolea macho safari nzima..
Ukweli hawa warembo wamefanya niiipendi air tanzania.
1. Wanalugha nzuri
2. Wana smile vizuri utadhani hawaja wahi kuwa na matatiZo.
3. Wanaongea kingereza na kiswahili vizuri.
4. Wale wanaosuka twende kilioni hao ndio wameua.. yaani mnaifanya Tanzania kuwa ya kipekee.. Sijawahi kudhani kusuka kunawafanya wasichana kuoendeza kiasi kile.. Big up wanao wasuka.
Anaye wavalisha hawa wafanyakazi na kuwaelekeza nampa big up.
Jambo moja ambalo naomba walifanye .. wawe na kucha fupi, wakate kucha..
Wengine makucha marefu hadi tunaogopa.
Wengine wameweka makucha ya bandia.
Jamani mle ndani mnahudumia hata watoto ..
Big up air hostess wote kwa kazi nzuri.. nimeipenda huduma yenu kwa air Tanzania.