Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima mbele,
Kwa tarifa ambazo nimezipata mchana wa leo ni kuwa,ile ndege yetu ya Air bus jana ilipata itilafu na kushindwa kutoa matairi kabla haijaruka kwenda Mwanza ,na hivyo kuwalazimu ATCL kuhairisha safari ya mwanza kwa jana.Hii iisabbisha abiria wote waliokuwa wakisubiri ndege hiyo jijini mwanza na Kilimajaro kupangishiwa nyumba katika hotel za kitalii.
Maswali ya kujiuliza ni kuwa,
1.Je zile nege zilikuwa Mpya ?
2.Gharama ambazo ATCL inainghia kila siku kuweka watu hotelini ni nani analipa.
Kwa taarifa ambazo nimezipata toka kwa wafanyakzai wa ATCL ni kuwa ATC imebakiza ngege mbili tu kwa hivi sasa.
Hivi kwanini Mataka asijiuzuru?tumepiga kelee sana imetosha..sasa tuwaloge tu kama inawezekana ii waachie ngazi.Tumeumia pesa nyingi kukodi ndege mbovu sana..Mkuu invisible naomba uirudishe ile thread ya Ndege hizi..Mwanakijiji was very right at the begining
Kwa tarifa ambazo nimezipata mchana wa leo ni kuwa,ile ndege yetu ya Air bus jana ilipata itilafu na kushindwa kutoa matairi kabla haijaruka kwenda Mwanza ,na hivyo kuwalazimu ATCL kuhairisha safari ya mwanza kwa jana.Hii iisabbisha abiria wote waliokuwa wakisubiri ndege hiyo jijini mwanza na Kilimajaro kupangishiwa nyumba katika hotel za kitalii.
Maswali ya kujiuliza ni kuwa,
1.Je zile nege zilikuwa Mpya ?
2.Gharama ambazo ATCL inainghia kila siku kuweka watu hotelini ni nani analipa.
Kwa taarifa ambazo nimezipata toka kwa wafanyakzai wa ATCL ni kuwa ATC imebakiza ngege mbili tu kwa hivi sasa.
Hivi kwanini Mataka asijiuzuru?tumepiga kelee sana imetosha..sasa tuwaloge tu kama inawezekana ii waachie ngazi.Tumeumia pesa nyingi kukodi ndege mbovu sana..Mkuu invisible naomba uirudishe ile thread ya Ndege hizi..Mwanakijiji was very right at the begining