Ainaitajika kijana wakukaa dukani feri

Ainaitajika kijana wakukaa dukani feri

Wataanzania watu wa ajabu sana ndio maana wengi ukiwaajiri ni wezi mtu anaambiwa mshahara ni elfu 60 anasema ni mdogo tatizo tunadhani kila kazi ni ya kututoa kimaisha wakati kuna kazi nyingine ni daraja ya kupata kazi ya ndoto yako sio kila kazi ni ya kumtoa mtu kimaisha nyingine ni daraja tu.
 
Wataanzania watu wa ajabu sana ndio maana wengi ukiwaajiri ni wezi mtu anaambiwa mshahara ni elfu 60 anasema ni mdogo tatizo tunadhani kila kazi ni ya kututoa kimaisha wakati kuna kazi nyingine ni daraja ya kupata kazi ya ndoto yako sio kila kazi ni ya kumtoa mtu kimaisha nyingine ni daraja tu.
Kweri haswaaa
 
Anaitajika kijana wakukaa dukani mshahara 60,000 kula kulala kwa boss awe mtiiifu na mchamungu kama yuko tayari anicheki 0685141035
bora hata wewe umeweka namba kuna wengne humu wanatangazia kazi ukimfuata pm akupe namba eti anakupa email sijui kama yuko serious kweli mwisho wa siku wanapiga watu unajibiwa tuma hela ya kutengeneza vitambusho na garama ya usahili daa
 
nashkuru jamani nimmempata mfanya kazi na ameshaaa anza kazi nimempa week moja yakufundisha next week tunaanza tarehe ya kuanza kazi rasmi
 
Eti elfu 60! Kwamaana hiyo kijana aamke saa 12 alale saa 5 usiku alafu umpe elfu 2 kwa siku?

Pumbavu zako tajiri
 
nashkuru jamani nimmempata mfanya kazi na ameshaaa anza kazi nimempa week moja yakufundisha next week tunaanza tarehe ya kuanza kazi rasmi
Safi sana wengine naona wanaubeza mshahara sasa. Cjajua wanamaana gani halisimajukumu mema🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom