pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 50
- 117
Anaitajika kijana wakukaa dukani mshahara 60,000 kula kulala kwa boss awe mtiiifu na mchamungu kama yuko tayari anicheki 0685141035
Amekwishapatikana?Anaitajika kijana wakukaa dukani mshahara 60,000 kula kulala kwa boss awe mtiiifu na mchamungu
Dukani? Mshahara 60k? Unataka kuibiwa uwape watu lawama.Anaitajika kijana wakukaa dukani mshahara 60,000 kula kulala kwa boss awe mtiiifu na mchamungu
Inasemekana Mashangazi wapo kazini kwa kasi ya ajabuwakiume wakike kwa pale kumechangamka sana vijana watamdanganyaa lawama tu bora tupate wakiume
Huu sio mtego kaka maana humu skuiz kuna usalama wa taifaAnaitajika kijana wakukaa dukani mshahara 60,000 kula kulala kwa boss awe mtiiifu na mchamungu kama yuko tayari anicheki 0685141035
Iko wapi iyo kazi cjaonaVijana changamkieni kazi.
Yupo vigezo awe na ninibado mkuu
Mtiifu mchamunguYupo vigezo awe na nini
Iyo kazi ipo maeneo gani Tegeta ,mwenge,Au kariakoo ?Mtiifu mchamungu
Umeambiwa feri mkuu, piga simu hapoIyo kazi ipo maeneo gani Tegeta ,mwenge,Au kariakoo ?