Duuuuh!!!!!!nmeshtuka kuanzia roho mpk mwili dah!!!
Inapatikana zaidi kanda maalumuHapana most likely visasi wivu na kukamiana... Dhuluma nk
Hebu tujifunze jambo hapa ili tusitatizike linapotokea.. Nazungumzia kuhusu kuua.. Kutoa uhai wa mtu
2. Professional killers.. Wauaji wataalam, wataaluma wanajulikana pia kama born to kill.. Yaani wamezaliwa kwa ajili ya kuua, kuangamiza.. No mistakes... No traces. Trained to assassinate...! Hawaoni shida kutoa uhai wa mtu .. Ni kama kumuua mbu....
manii zilizokosea njia, je kuna mimba za bahati mbaya?Ningekua Mungu sijuiii tu hakika Mungu sio Abiud Misholi
All serial killers have something in common! Bright inquisitive eyesSERIAL KILLERS
Theodore Robert Bund-serial killer
Ángel Maturino Reséndiz
Cleophus Prince Jr. african american serial killer
Dennis Lynn Rader-BTK Killer
Edmund Kemper-
Gary Ridgway-Green River Killer
victims
H. H. Holmes
Jeffrey Dahmer-Milwaukee Cannibal
SNIPERS KILLER
DC SNIPER: John Allen Muhammad and Lee Boyd Malvo
JOHN
LEE
MASS SHOOTING
Stephen Paddock-Las vegas mass shooting
victims
Omar Mateen-Orlando mass shooting
victims
duh! utapewa tuzo ya kukwepa maswali kimtindo!,kwani jf ndo walikupa PhD ya maswala ya kichawi!.. nataka za kwako binafsi.. okay swali jengine uchawi ni halali..?Sikulazimisha bali nilikufafanulia kuhusu neno MAHUBIRI... huoni sasa umekuja kivingine.... Ningekuwa darasani ningekupa [emoji818] [emoji819] lakini ya mwanzo ningekupa[emoji777] [emoji777] [emoji844]
Nikirejea kwenye jibu la swali lako ni kwamba JF ni forum huru unaruhusiwa kuandika chochote alimradi huvunji taratibu na kanuni za jukwaa
[emoji15] [emoji3] [emoji121] uhalali wa uchawi unatokana na imani mila na desturi za sehemu husika.. Kwa hapa kwetu uchawi sio halaliduh! utapewa tuzo ya kukwepa maswali kimtindo!,kwani jf ndo walikupa PhD ya maswala ya kichawi!.. nataka za kwako binafsi.. okay swali jengine uchawi ni halali..?