Kuna moja cjaiona kuna manzi huku kitaa akizinguana na mumewe anamsubiri mumewe aende kazini huku nyuma anaita kirikuu anasafisha chumba chote anaenda kwao ila mume akirudi anamfata huko na wanarudi na vitu vyao maisha yanasonga
Bado,kuna huyu ambaye akikasikrika hutafuta simu na kuanza kusearch namba za ma ex boyfriend zake na kuanza kupanga miadi ya kufanya uovu kwa nia ya kukukomesha..