fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,890
Hizo hasira za kukupelekea kutabasamu waweza kuua pasipo kukusudia.Nikikasirika natabasamu tu
Hata mie huwa nafikiri ni meSamahani huwa nafikiri wewe ni ME
Uchokozi huo, sasa wewe ulimwambiaje mwenzio wowowo limeisha, kimekuwa kipande cha sabuni?Kuna demu nilimwambia wowowo lako limeisha aiseee alitoa mvua ya matusi.... [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Yeye huwa anapendaUchokozi huo, sasa wewe ulimwambiaje mwenzio wowowo limeisha, kimekuwa kipande cha sabuni?
Wala, nikishatabasamu tu hasira zinaishaHizo hasira za kukupelekea kutabasamu waweza kuua pasipo kukusudia.
Ooh! Una hasira nzuri, ningekuwa nakukera mara kwa mara.Wala, nikishatabasamu tu hasira zinaisha
Hahaha! PoleYeye huwa anapenda
" wowowo " hata posti zake za insta na whatsapp ni " wowowo " tu ndiyo nikaamua kumwambia hivyo, daaah alitukana balaa.... [emoji17] [emoji22] [emoji119] [emoji119]
Ni mmoja kwa kumiMbona wifi yako yupo hivyo
itaje labda kaisahau..Zangu sijaziona,ila hao namba moja siku hizi wameadimika
shakutana nayo hii.Bado,kuna huyu ambaye akikasikrika hutafuta simu na kuanza kusearch namba za ma ex boyfriend zake na kuanza kupanga miadi ya kufanya uovu kwa nia ya kukukomesha..
Kweli she is very special, a rare specieNi mmoja kwa kumi
basi utabembelezwa na B.O.T halafu siku hizi imehamishiwa chatle sasa kazi kwakoIli ufanyaje ukishajua...unajua nabembelezeka na hela tu
Ntaifuata tu sababu najua ntafikia kwenubasi utabembelezwa na B.O.T halafu siku hizi imehamishiwa chatle sasa kazi kwako
Kabarikiwa kwa kweli....yani mi uniuzi nilie????hahahaha nna kiburi mchongokoKweli she is very special, a rare specie