Aina ya Wanawake wanaopendwa na wanaume Duniani!

Aina ya Wanawake wanaopendwa na wanaume Duniani!

Yaonekana vigezo /tabia zote unazo na ndio maana ukapendwa
Hongera
 
Ila kuna wadada ukiwaangalia haraka haraka utasema micharuko ila ukishawa piga sound wanatulia tuli na adabu mkononi
 
Wanawake wanaopendwa zaidi na wanaume na hata kuolewa mapema ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio.


Mwanamke ambaye ataridhika na wanaume ambao maisha yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke bora.[/QUOTE said:
Hapo kwenye red: Mafanikio kama ya Flora Mbasha.................. unaelewa kilichomkuta Imma!
 
Hahahahaaaaa miss famba unanichekesha na msimamo wa madolari! Hata huo mzigo unatakiwa useme unakutosheleza na wala si mzigo! Akili za kushikiwa hizi!

ukijibweteka mbona utaumia eti ndio nimempenda na kutaka kujiua aiii mchaga mie roho ilivyo ngumu siwezi toa akili yangu kisa kidudu.... labda kwa hela sawa
 
Hii misemo hii..vitu haviji tu mezani bilamalengo na kufanyia kazi..hata mausiano mazuri lazima uwe na malengo, maombi na kufanyia kazi...ipo ipo tu e ai'nt there

Inawezekana ni kweli unachoongea lakini tunawaona watu wa aina hiyo wengi tu wanaolewa
 
Mi mgen jaman .....ila kwa kauchunguz kangu wanaume ckiz wanapenda wanawake wenye mshahara mkubwa teh..teh napita tu mweee
 
Mimi ni hela, elimu, ka ushuzi ka kadiri kwanza mapenzi mapenzi kesho maana wanawake wanaitwa zafanana huingizi hela yani zero account nakupiga chini
 
KUCHANGUMU !! usemayo swadaktaaa kabisaaaah tena wanawake hao adimu sana kupatikana na huishia kwenye mikono ya wanaume vimeo wasoelewa maana.
 
Back
Top Bottom