Hii misemo hii..inaweza isiwe na fomula kwa sababu kichwani kwako umeweka hivyo lakini ukute fomula ipo vizuri tu.,Dunia ya sasa haina formula
Hii misemo hii..inaweza isiwe na fomula kwa sababu kichwani kwako umeweka hivyo lakini ukute fomula ipo vizuri tu.,Dunia ya sasa haina formula
Nakusikitikia sana..polehivi unasemaje niliye nae ananitosha wkati huyo mtu ni mzigo .... kiukweli am waiting for Mr right ambae ana hela ndio nitasema hivyo.....
Hakuna kitu kitu kama icho..mfano mdogo tu mimi wasichana nliomaliza nao chuo wale wote waliokuwa wametulia wameolewa na wana watoto..ila masistadu..finger taping, neck bending, eye ball rawling bado wapo..wanakula ujana kwanza..vijana wengi tunakaa kwenye cyccle ya watu wa aina moja..wenye mawazo negative tunayabeba yanaingia kichwani...get out of ur cycle uone maisha tofautiHakuna lolote....Wanawake mashankupe ndio wanaopendwa sasa we chunguza....Wale wenye msimamo utakuta wanaishilia tuu kuumizwa na kutendwa wanaonekana km walokole, washamba ......Ukisema enzi za baba zetu na mama zetu ndio walikuwa wanapenda wanawake wa hivyo ila sasa mmmmmhh... dhambi tupu ndio maana hawadumu
Chunguza dunia ya leo
Maimamo ni kusimamia malengo yako na mwenzako mfanikiwe...wanawake wengi wanadhani kuwana msimamo ni kuwa argumentative and arrogant..kuwa na msimamo ni kubring stuff on the table ili muweze kufanikiwa ndo msimamo wenyewe huo..Mmmh wala hakuna fomula ndugu yangu...wenye msimamo wanaonekana wababe basi majanga tu..
Hii misemo hii..vitu haviji tu mezani bilamalengo na kufanyia kazi..hata mausiano mazuri lazima uwe na malengo, maombi na kufanyia kazi...ipo ipo tu e ai'nt thereKweli kama ipo ipo tu..kila shetani na mbuyu wake
Wale ndo first priority
Mmmh wala hakuna fomula ndugu yangu...wenye msimamo wanaonekana wababe basi majanga tu..
Nawale wa umeingiza sh ngapi, wako katika nafasi ipi ya kupendwa na Me duniani.?
mwenzangu dunia hii mambo yanajiendea endea hakuna utaratibu maalumu wala kanuni
Kupanga ni kuchagua....
Wengine wana act tu
mwanamke wa aina hiyo anaweza pata mshikaji ambaye baadae akaja akamtenda na hapo mcharuko ndipo unaanzia
yani nakagua like za hii comment... iko poa sana sababu miss chagga dadangu amei like.. sijui wachaga tuko kundi gani maana hapa hatupo..
tuulize ndugu