Aina ya Wanawake wanaopendwa na wanaume Duniani!

Aina ya Wanawake wanaopendwa na wanaume Duniani!

Last edited by a moderator:
Utaonekana saa ngapi weye Husninyo saa zote uko busy na fukufuku na manyonyo yako lol!!!! Hahahahahahah

hahahhhaaaa!!! fukufuku walikuwa wananipotezea muda tu. manyonyo hayajawa makubwa wala nini.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanawake wanaopendwa zaidi na wanaume na hata kuolewa mapema ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio.
Wanawake wanaochagua mtu kwenye mahusiano mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kila aina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziada zaidi ya waliowachagua mwanzo wanahitajika sana.mwanamke anayeweza "kusema"Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine.” Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu sana miaka hii.
Mwanamke ambaye ataridhika na wanaume ambao maisha yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke bora.

Toka mwaka huu uanze leo ndo umeongea point
 
Hakuna kitu kitu kama icho..mfano mdogo tu mimi wasichana nliomaliza nao chuo wale wote waliokuwa wametulia wameolewa na wana watoto..ila masistadu..finger taping, neck bending, eye ball rawling bado wapo..wanakula ujana kwanza..vijana wengi tunakaa kwenye cyccle ya watu wa aina moja..wenye mawazo negative tunayabeba yanaingia kichwani...get out of ur cycle uone maisha tofauti

Upo sawa mkuu.:thumbup::thumbup:
 
Ndoa ni mpango wa Mungu, wapo wa namna hiyo na wanateseka tu kwenye ndoa zao.
 
umeona eeh! wanaume wanaogopa changamoto kutoka kwa wanawake wenye misimamo.
Changamoto tunakabiliana nazo bhana,wee hujaona ile thread ya mzungu na patner wake mpaka kampeleka hospitali kwa raha zake?
 
hivi unasemaje niliye nae ananitosha wkati huyo mtu ni mzigo .... kiukweli am waiting for Mr right ambae ana hela ndio nitasema hivyo.....

Hahahahaaaaa miss famba unanichekesha na msimamo wa madolari! Hata huo mzigo unatakiwa useme unakutosheleza na wala si mzigo! Akili za kushikiwa hizi!
 
mwanamke wa aina hiyo anaweza pata mshikaji ambaye baadae akaja akamtenda na hapo mcharuko ndipo unaanzia

kweli kabisa, maana wakati mwingine wanaume ndio wanawabadilisha wanawake...
 
Back
Top Bottom