MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
mtoa mada tunakuomba tafadhali
tunasubir
mtoa mada tunakuomba tafadhali
Mmmh wala hakuna fomula ndugu yangu...wenye msimamo wanaonekana wababe basi majanga tu..
Wanawake wanaopendwa zaidi na wanaume na hata kuolewa mapema ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio.
Wanawake wanaochagua mtu kwenye mahusiano mara moja na kutosheka na kuwa tayari kukwepa kila aina ya vishawishi toka kwa wanaume ambao kimtazamo wana vitu vya ziada zaidi ya waliowachagua mwanzo wanahitajika sana.mwanamke anayeweza "kusema"Niliye naye ananitosheleza kwa kila kitu sitaki mtu mwingine. Kundi la wanawake wa aina hii ni adimu sana miaka hii.
Mwanamke ambaye ataridhika na wanaume ambao maisha yamekuwa yakiwageuza kutoka juu kwenda chini au chini juu. Kukubali hali zote bila kubadili tabia ni sifa njema ya mwanamke bora.
huhuhuuuuu unauhakika
kabisa
bas mim sina hakika katika hili
Hakuna kitu kitu kama icho..mfano mdogo tu mimi wasichana nliomaliza nao chuo wale wote waliokuwa wametulia wameolewa na wana watoto..ila masistadu..finger taping, neck bending, eye ball rawling bado wapo..wanakula ujana kwanza..vijana wengi tunakaa kwenye cyccle ya watu wa aina moja..wenye mawazo negative tunayabeba yanaingia kichwani...get out of ur cycle uone maisha tofauti
Ndoa ni mpango wa Mungu, wapo wa namna hiyo na wanateseka tu kwenye ndoa zao.
tinna cute huyu anawaambia wanawake,kwa nini we hutaki kusikia?Wamekusikia wanaume
Changamoto tunakabiliana nazo bhana,wee hujaona ile thread ya mzungu na patner wake mpaka kampeleka hospitali kwa raha zake?umeona eeh! wanaume wanaogopa changamoto kutoka kwa wanawake wenye misimamo.
hivi unasemaje niliye nae ananitosha wkati huyo mtu ni mzigo .... kiukweli am waiting for Mr right ambae ana hela ndio nitasema hivyo.....
ndio ukipata wa hivyo utulie nae
Na wanakuona huna adabu
mwanamke wa aina hiyo anaweza pata mshikaji ambaye baadae akaja akamtenda na hapo mcharuko ndipo unaanzia