(1)Wale wasiyoyumba wala kubadilishwa kama Tundi Lissu hata umuonge nini habadiliki
(2)Wale wa maslai kama Mbowe wao watavumilia kila aina ya mateso lakini ukiwapa pesa wanasahau yote
(3)Wale wanaofwata upepo kama akinyimwa madaraka Chadema anaenda kuyatafuta kwingine Msigwa
(4)Wale awana msimamo yaani haeleweki naweza akawa CCM,kesho Chadema,kesho kutwa ACT Wazalendo
(5)Wale wajinga kama Lucas yaani yeye atamtetea tu muhusika hata kama mchafu kachafuka kivipi
Note; endeleza na wewe
(2)Wale wa maslai kama Mbowe wao watavumilia kila aina ya mateso lakini ukiwapa pesa wanasahau yote
(3)Wale wanaofwata upepo kama akinyimwa madaraka Chadema anaenda kuyatafuta kwingine Msigwa
(4)Wale awana msimamo yaani haeleweki naweza akawa CCM,kesho Chadema,kesho kutwa ACT Wazalendo
(5)Wale wajinga kama Lucas yaani yeye atamtetea tu muhusika hata kama mchafu kachafuka kivipi
Note; endeleza na wewe