Usisahau kwamba hao ndo walinzi wa Raia na Mali zao.Dah! Mandata, njagu, mapoti..
Usisahau kwamba hao ndo walinzi wa Raia na Mali zao.
Sawa-lakini ujue siku akitokea mbabe au mjanja zaidi yako utawahitaji hao jamaa.Mimi mali zangu nalinda mwenyewe mkuu!
Sawa-lakini ujue siku akitokea mbabe au mjanja zaidi yako utawahitaji hao jamaa.
Ndugu na Jamaa wanaweza kukushinikiza ili uwahitaji hao jamaa na hapo ndipo utatoa ushirikiano japo sio kwa hiari yako.Sita "cooperate" aisee!
Wananchi hawajawahi kueleweka wanataka nini. Watu wakitembelea magari makali, utasikia oohh wanapiga dili na kuiba fedha za umma. Watu wakiishi maisha yanayoendana na vipato vyao mnaanza dhihakaKazi tamu ila imedharaulika na watawala mno, yani unakutana na askari wa hivi anakuuliza kwa nini unatembea na gari tairi kipara😅😅
Pumbavu sanaView attachment 3654478