Kuongezea maarifa. Condomimium na apartment ni kitu kimoja vyote ni kwa ajili ya makazi ndani ya ghorofa ambapo mnakuwa familia kadhaa. Ila tofauti yake ni kwamba kwa condominium familia ina umiliki wa makazi wakati kwenye apartment familia haina umiliki wa makazi; inapangisha(rent).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.