Aina tano za wanaume

Aina tano za wanaume

Nadhani mimi ni aina ya 6, maana katika kila category hapo mimi nimo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mume rijali
Huyu huwa anapendwa na wanawake Hata bila Pesa na wakati mwingine huwa anapewa yeye
Kazi yake kubwa ni kupiga Mashine hadi iwake Moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu boss anakuwaje Mtumwa. Wakati yeye anaoda kila kitu.

Sent using my Nokia Torch
 
nimejua mimi ni mume mkavu.. sorry wife kama ukiiona hii comment..!!

Sent usingJamii Forums mobile app
 
Hivi Kuna Raia Wanamsikiliza Chris Mauki!
 
Back
Top Bottom